Waliochapisha vipeperushi vya kampeni 2020 wanaidai CCM zaidi ya 1B.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,269
Umoja wa kampuni za uchapishaji walioingia mkataba kwa ajili ya kuzalisha bidhaa na vipeperushi vya CCM wakati wa kampeni mwaka 2020, wamemuomba Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Mhe. @SuluhuSamia kuingilia kati suala la madai yao ili walipwe.

Kwa pamoja wanadai zaidi ya bilioni 1.

3E153DFB-79B6-4887-8826-7C762B8A856D.jpeg


Natumaini safari hii hawataambiwa “Mwanangu kunywa maji” kama alivyoambiwa Shigongo 2015.
 
Umoja wa kampuni za uchapishaji walioingia mkataba kwa ajili ya kuzalisha bidhaa na vipeperushi vya CCM wakati wa kampeni mwaka 2020, wamemuomba Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Mhe. @SuluhuSamia kuingilia kati suala la madai yao ili walipwe.


Kwa pamoja wanadai zaidi ya bilioni 1
Weka uthibitisho
 
Umoja wa kampuni za uchapishaji walioingia mkataba kwa ajili ya kuzalisha bidhaa na vipeperushi vya CCM wakati wa kampeni mwaka 2020, wamemuomba Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais Mhe. @SuluhuSamia kuingilia kati suala la madai yao ili walipwe.

Kwa pamoja wanadai zaidi ya bilioni 1.

View attachment 2201320

Natumaini safari hii hawataambiwa “Mwanangu kunywa maji” kama alivyoambiwa Shigongo 2015.
Hayo ndiyo matokeo ya tenda za ujanjaujanja. Hiyo tenda walipewa na kuongeza bei ili kugawana. Mama suluhu au kiongozi yeyote hahusiki. Kuna kampuni waliyotiliana nao mkataba. Hiyo kampuni inatakiwa kulipa. Kama hailipi, waipeleke mahakamani. Kama hawana pesa sheria itumike, hiyo ni pamoja na kuifilisi hiyo kampuni, kama wataambuliya chochote kwenye kufilisi, wapate. Watu wa biashara wanajuwa wazi kuwa hizi kampuni za vyama siyo reliable lakini bado wanaskubali kufanya nao biasharas, sasa wanalia nini!
 
Back
Top Bottom