Habari za muda huu ndugu zangu,
Ngoja niende kwenye point natafuta mtu mwenye Uelewa wa vitu vinavyo hitajika ili mtu aruhusiwe kuingia Uganda kimasomo, Mfano niliongea na MTU mmoja akasniambia nilazima niwe na passport, kibali cha katibu mkuu utumishi na viza, lakini mtu mwingine akasema...