viazi mviringo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Muuza madafu wa Ikulu

    Kilimo cha mahindi na viazi mviringo cha kisasa huko Kilolo, Iringa

    Nimeona rafiki yangu mmoja niliyesoma naye Chuo Kikuu kule Morogoro ameweka hizi video zikionesha namna watu wanavyofanya Kilimo cha Mahindi na Viazi Mviringo lwa kitumia technologies ya kisasa nikasema nishare nanyi wana JF ili muwe inspired kama mimi nilivyokuwa inspired. Nimemuahidi Jamaa...
  2. Dasizo

    Ugonjwa wa mnyauko wa majani ya viazi mviringo

    Wadau, naombeni kuuliza ugonjwa wa mnyauko wa majani ya viazi mviringo unasababishwa na nini na tiba gan iinahitajika?
  3. K

    Nimeuza 15000 kwa debe viazi mviringo shambani

    Bila shaka mko salama, Nina miaka 7 nalima viazi mviringo uku nyanda za juu kusini mkoa wa Iringa. Kwa miaka yote bei ya shambani ilikua inacheza sh 5000_8000 kwa debe shambani. Lakini ilipofika mwezi wa tano mwaka huu bei ilibadilika Sana na kufikia 15000. Wanunuzi wanatafuta kiazi mviringo...
  4. je parle

    Kuna nini huko, mbona gunia la viazi Dar es Salaam ni laki 1?

    Tanzania tunashukuru Mungu kwa kuingia uchumi wa kati mpaka sasa gunia la viazi wanauza kuanzia 98.000 hadi 110.000 Tatizo ni uzalishaji mdogo kila mtu kawa machinga au tatizo ni madalali kujipangia bei zao wenyewe?
  5. Bushmamy

    Namna bora ya kupika pilau lenye mchanganyiko wa viazi mviringo ndani na njegere

    Nahitaji kuaandaa huo msosi, maelekezo tafadhali, na kipi niongeze humo ndani kunogesha pilau langu. Asanteni
Back
Top Bottom