Habari zenu wakuu
Ninaomba msaada wenu. Ningependa kujua Bei ya sasa ya viazi mviringo Obama na Sangita shamba katika eneo la Njombe.
Je, bei kwa mkulima shambani
Bei kwa gunia (100kg) ni kiasi gani?
Pia, ikiwa mtu ana taarifa ya vinapopatika aina ya viazi (mviringo, OBAMA &SANGITA) na...
Bila kupoteza muda Nina mashamba ya viazi mviringo vilivyotosha kuvunwa.
Napatikana mafinga Iringa
*Bei kipeto 1 Cha debe 5 ni ni sawa50000
*Debe 1@ 10000
*Usafiri ni juu yako
Nawasilisha wasap no 0614220423 ukipiga kawaida uwezi nipata
To determine whether coffee or potatoes are more profitable per acre in Tanzania based on a one-year output, assuming the farms receive the best services (optimal inputs, management, and market access), we need to compare their yields, costs, and revenues. Since I don’t have exact 2025 data for...
Naombeni msaada jinsi ya kupata soko la viazi mviringo mkoan , Lakini pia gharama za usafirishaji kuja dar es salaam . Gharama zake zimekaaje . Naombeni msaada wa mawazo
Nimeona rafiki yangu mmoja niliyesoma naye Chuo Kikuu kule Morogoro ameweka hizi video zikionesha namna watu wanavyofanya Kilimo cha Mahindi na Viazi Mviringo lwa kitumia technologies ya kisasa nikasema nishare nanyi wana JF ili muwe inspired kama mimi nilivyokuwa inspired.
Nimemuahidi Jamaa...
Bila shaka mko salama,
Nina miaka 7 nalima viazi mviringo uku nyanda za juu kusini mkoa wa Iringa. Kwa miaka yote bei ya shambani ilikua inacheza sh 5000_8000 kwa debe shambani.
Lakini ilipofika mwezi wa tano mwaka huu bei ilibadilika Sana na kufikia 15000. Wanunuzi wanatafuta kiazi mviringo...
Tanzania tunashukuru Mungu kwa kuingia uchumi wa kati mpaka sasa gunia la viazi wanauza kuanzia 98.000 hadi 110.000
Tatizo ni uzalishaji mdogo kila mtu kawa machinga au tatizo ni madalali kujipangia bei zao wenyewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.