uturuki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Urusi inaomba Msaada wa Uturuki ili kuwaondoa wanajeshi wake kwa usalama nchini Syria

    Wanaukumbi Moscow anaomba msaada kwa Mturuki baada ya kuzingirwa na vikosi vya waasi. ========== Russian troops have requested Turkey’s support for their safe exit from Syria following a lightning Islamist-led offensive that resulted in regime change, CNN Turk reported Sunday. The broadcaster...
  2. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Putin nyuma ya Syria katika mgogoro wa Syria na Uturuki

    Hapa sasa nachanganyikiwa niwe upande upi. Maana Uturuki ndo Ottoman Empire yenyewe na movies zake zinaoneshwa sana Azam. Sasa wanapopambana na Syria... Napata kigugumizi. Putin safi sana.
  3. Sigonella Island

    JamiiForums Tanzania Uturuki yazuia ndege ya Rais wa Israel kukatiza kwenye anga lake

    Rais wa Taifa la Kigaidi la Israel amepigwa marufuku kukatiza katika anga ya Uturuki baada ya kualikwa kwenye mkutano wa COP 29 summit huko Baku Azbaijan. Turkey effectively blocked Israeli President Isaac Herzog from attending the COP29 summit in Baku earlier this week by refusing to allow his...
  4. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Uturuki imewapiga Wakurdi zaidi mara 1000 ndani siku nne kuretaliate shambulio la kigaidi lilifofanyika. Cha ajabu hatusikii wanaharakati mkilaani

    Israel akirudisha mashambulizi kutokana na ugaidi anaofanyiwa mnawaita wauaji. Ooh, tushaelewa kwa nini. Turkey ni wale wale itikadi kali wenzenu ndio maana mko kimya.
  5. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Hakuna Cha ‘Pray for Israel’ au Iran - Wacha Wapigane Hadi Wachoke! Mpalestina wa Buza na Muisrael wa Bonyokwa kaeni kwa kutulia

    Mi’ huwa nikisikiaga watu wanatwangana huko ulaya, Asia na kwingineko huwa nafurahi tu, acha watwangane tu na hata wamalizane, kwangu haina shida. Kwa nini? Wao wanatusababishia vita huku, wanachukua madini na vinginevyo na kusepa, so how come leo nikisikia watu wanatwangana nihuzunike? Je...
  6. R

    JamiiForums Tanzania India imekataa Uturuki kujiunga BRICS

    Ni kitu kimeshitusha wengi baada ya India kukataa uturiki kujiunga ndani ya brics, kwa sababu uturuki na Pakistan ni kitu kimoja. Hata hivyo Pakistan nayo iliomba kujiunga ila India ilikataa. https://x.com/TimesAlgebraIND/status/1849545656525803745?t=uHWcI-n4FR2iMTGmlxgAfw&s=19 Hata raisi wa...
  7. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Vikosi vya anga vya Uturuki vimeshambulia maeneo ya wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria na Iraq

    Kawaida ya watu wenye roho mbaya,wauaji,makatili na wenye ushetani. Huwa wakimaliza kula wengine wanarudi hadi kwao. Uturuki ni Taifa la Kiislamu. Imagine linashambuliwa. Huko Ulaya ambako kuna makafiri wengi Waislamu ndo wanapenda kukimbilia.hawataki kwenda Egypt,Saudia...
  8. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Uturuki inaituhumu Israel kwa genocide kwa Wapalestina. Je, wao wamesahau walichowafanyia Wakristo wa Armenia?

    Mamlaka ya uturuki iliwaua Waarmenia kati ya 600,000 hadi 1,500,000. Mnamo tarehe 24 Aprili 1915, mamlaka ya Ottoman ilikamata na kufukuza mamia ya wasomi na viongozi wa Armenia kutoka Constantinople. Kwa amri ya Talaat Pasha, wastani wa Waarmenia 800,000 hadi milioni 1.2 walipelekwa kinguvu...
  9. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Bomu Jipya GBU-72 lililongusha majengo ya Hezbollah ni Jipya, lingine pia lipo njiani kufumua mahandaki yenye hazina ya Silaha. maeneo hayo hayo

    New ‘bunker buster’ bombs used in Beirut attack Bomu limeetoa moshi wa rangi ya Chocolate - This is why Iran hataki War na Israel anawatumui Arabs wajinga wake. Bomu hilo halijawahi tumika kabla kilo 2,200 lilianza kuundwa Mwaka 2021 Elijah Magnier, a military analyst, says the ordnance used...
  10. Webabu

    JamiiForums Tanzania Iran na Uturuki kuunda meli ya kubebea droni kuzipiku meli za kubebea ndege za kivita za Marekani, Urusi na China

    Mataifa ya Uturuki na Iran yapo mbioni kutengeneza meli kubwa za kijeshi zitakazobeba droni kushambulia adui badala ya zile meli zilizozoeleka na zinazohofiwa ambazo huwa zinabeba ndege za kijeshi kama vile F-16 na F 35. Tofauti na meli za kubebea ndege za kivita,meli hizo zao la ubunifu wa...
  11. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Kamal Mustafa Atartük: Baba wa Uturuki Mpya (1881-1938)

    JE, WAMJUA? Anaitwa Kamal Musatafa Atatürk (BABA WA UTURUKI) 1. Aliondosha mfumo wa Ukhalifa wa Kiislamu Khilafah ya Kiothmaniyah (Otthoman Empire) mwaka 1924. 2. Alifuta sheria zote za Kiislamu mwaka 1926. 3. Alibadilisha mfumo wa mirathi ya Kiislamu. 4. Aliwazuia Waturuki kwenda...
  12. Sigonella Island

    JamiiForums Tanzania Uturuki nayo yatuma zana za Kivita Iran

    Uturuki nayo imetuma Ndege mbili za mizigo yavsilaha kwenda Tehran Two days in row,at 31-07-2024 & 01-08-2024 , Airbus A400 of the Turkish Air Force flew twice to IRAN, on the route Tehran-Ankara-Instabul. In same time Russian special squadron Il-96 flew also twice in two days+one Russian Il-76 .
  13. Mr Chromium

    JamiiForums Tanzania Wasomali wameungana dunia nzima kupinga Ethiopia wasipewe bandari walini Rasi wao kawapa uturuki pwani nzima ya somali??Hiii Kitaalamu ni akili gani??

    Coast ya Somalia kwasasa inamilikiwa na uturuki!! Lakini huwezi wakutaka wakiongea. Ila nguvu zote wameelekeza kwa somaliland ambayo imempa kipisi tu Ethiopia ijenge Bandari!! Ni chuki au Akili ya kufirikir ndo tatizo
  14. Webabu

    JamiiForums Tanzania Erdogan asema Uturuki sasa kuingia Israel kuwasaidia Wapalestina

    Rais wa Uturuki ndugu Tayeb Erdogan amesema nchi yake inakusudia kuingia ndani ya Israel kuwasaidia wapalestina wanaouliwa na Israel. Hayo aliyasema kwenye mji aliozaliwa wa Rize wakari akizungumza na wanachama wa chama chake cha AK chenye kufuata mrengo wa dini ya kiislamu. Akifafanua kusudio...
  15. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Baada ya Korea, wasanii wapelekwe Uturuki kujifunza zaidi

    Baada ya wasanii kutoka Korea Kusini walipoenda kimafunzo, inafaa waunganishs kwenda Uturuki kujifunza zaidi kutoka Kwa Watengenezaji filamu duniani
  16. Keyboard_Warrior

    JamiiForums Tanzania Uturuki mbioni kujiunga BRICS

    Turkey would like to join BRICS and this issue will be discussed at the group’s ministerial meeting in Nizhny Novgorod, Turkish Foreign Minister Hakan Fidan said during his visit to China. "Certainly, we would like to become a member of BRICS. So we’ll see how it goes this year," the South...
  17. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Jose Mourinho kutangazwa kuwa kocha mpya wa Fenerbahce ya Uturuki

    Inadaiwa kuwa Jose Mourinho ameamua kurejea katika Maisha ya kufundisha soka kwa kukubali kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuinoa Fenerbahce ya Uturuki. Kocha huyo anatarajiwa kuchukua nafasi ya Ismail Kartal ikiwa na maana itakuwa ni ajira yake ya 11 kwenye ukocha. Timu hiyo imemaiza msimu...
  18. TODAYS

    JamiiForums Tanzania HII NDIYO ROBOTI: Ilichukua Jukumu Muhimu Kutambua Mabaki ya Rais Raisi.

    Kwa waturuki wao wanasema ni hatua kubwa waliyofikia kwa mara ya kwanza katika historia ya dunia. AKINCI UAV ya Uturuki ilichukua jukumu muhimu katika kutambua mabaki ya helikopta ya Rais wa Iran Raisi. Ni operesheni ya utafutaji na uokoaji ilitangazwa moja kwa moja 'LIVE COVERAGE' kupitia...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Uturuki: Tutaendelea kusimama na HAMAS katika vita vyao vya Ukombozi!

    1. Rafiki wa kweli hujulikana wakati wa dhiki: 2. Hii itakuwa habari mbaya mno kwa wasayuni wote kuanzia Tell Aviv, hadi Buza pande za kwa Mpalange huko. 3. Mwizi ni mwizi tu huyo ni wa kusema naye siku zote na popote atakapoonekana! 4. Ngoja tumsubiri mwenye mpango wake wa kuifuta...
  20. Kaka yake shetani

    JamiiForums Tanzania Uturuki wanyama wanaishi kwa raha

    Wenzetu wana tamaduni zao za kuwaheshimu wanyama haijalishi ni mnyama wa aina gani japo kuwa nchi ya kiislamu ila inawapenda wanyama kama mbwa na wanazingatiwa kabisa. Suala la paka na njiwa kule wanapendwa sana na wanajitawala kweli kweli yani paka wa mitaani wana uthubutu wa kukuribisha. Sio...
Back
Top Bottom