utekelezaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waziri Kombo awasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa 2025/2026 na mpango wa 2026/2027 kwa Kamati ya NUU

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa mwaka 2025/2026 na mpango wa bajeti wa mwaka wa Fedha 2026/2027 kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi na Usalama (NUU) jijini Dodoma. Akiwasilisha...
  2. H

    Serikali yenu haitakuwa na mzaha, hata kidogo, kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    NUKUU ZA WAZIRI MKUU Serikali yenu haitakuwa na mzaha, hata kidogo, kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo. 📍RUKWA-TANZANIA 🗓️MACHI, 2026
  3. H

    Tanzania na Uganda Zasisitiza Utekelezaji kwa Vitendo katika Kukuza Ushirikiano wa Uwili

    Tanzania na Uganda Zasisitiza Utekelezaji kwa Vitendo katika Kukuza Ushirikiano wa Uwili Tanzania na Uganda zimethibitisha tena dhamira yao ya kuimarisha ushirikiano wa uwili, kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya pamoja, na kuibua maeneo mapya ya ushrikiano Akifungua kikao cha...
  4. Wanu ataka utekelezaji mwongozo wa utoaji chakula shuleni

    Wakati Serikali imezindua Mpango Mkakati wa Kisayansi wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (2025/26–2030) kwa lengo la kuhakikisha ifikapo mwaka 2030 watoto wote wa Tanzania wanamudu stadi za msingi, wadau wametakiwa kutekeleza mwongozo wa kitaifa wa utoaji wa chakula na lishe kwa...
  5. A

    KERO Ahadi hewa ya Utekelezaji wa Muundo wa Utumishi kwa Sekta ya Afya (Kada ya Uuguzi na Ukunga) kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

    JE ILIKUWA NI AHADI HEWA YA KUPITISHWA NA KUANZA UTEKELEZAJI WA MUUNDO WA UTUMISHI KWA SEKTA YA AFYA (KADA YA UUGUZI NA UKUNGA) KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 ILIYOTOLEWA NA OFISI YA RAIS – MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA MWEZI MEI 2025? Habari, Kwa masikitiko makubwa napenda...
  6. Huenda utekelezaji wa mipango kamili ya uhani ilipangwa kufanyika kuanzia Oct.29.2025

    Kama taifa tunafaa kuvipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kufanikiwa kudhibiti uhuni ule wa wahaini, ambao ulipangwa kwa ustadi mkubwa na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi waliojificha ndani ya baadhi ya vyama vya siasa nchini. Ni muhimu sana hatua kali za kisheria kuchukuliwa haraka tena...
  7. Utekelezaji wa miradi moi wafikia wastani asilimia 78.5

    Kasi ya utekelezaji wa miradi minne ya maendeleo katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imefikia wastani wa asilimia 78.5, hali inayowasha taa mpya ya matumaini ya uboreshaji zaidi wa huduma kwa wagonjwa. Meneja Milki, Mazingira na Matengenezo wa MOI Bw. Victor Kamagenge...
  8. Prof. Shemdoe: Tathmini ya utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa mwaka wa fedha 2024/25 imeonesha mafanikio makubwa

    Tathmini ya utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa mwaka wa fedha 2024/25 imeonesha mafanikio makubwa, ambapo rangi ya kijani imetawala katika viashiria vingi vya utekelezaji, ikiwa ni ishara ya kufanya vizuri kwa mikoa na halmashauri nchini. Hayo yamesemwa Januari 22,2026 jijini Dodoma na Waziri...
  9. K

    PostGE2025 Mbunge Seif Suleiman aanza utekelezaji ahadi ujenzi Daraja Kwapeza

    5 January 2026 Jimbo la Ole limeandika ukurasa mpya wa maendeleo kufuatia kuanza rasmi kwa utekelezaji wa ujenzi wa Daraja la Kwapeza, mradi muhimu unaounganisha Shehia ya Ole na Vikunguni. Utekelezaji huu ni matunda ya ahadi aliyoitoa Mwakilishi wa Jimbo la Ole, Mheshimiwa Seif Hamad...
  10. Utekelezaji wa Majukumu ya Msingi ya JWTZ: Tathmini za Shughuli Wanazozifanya Sasa Mitaani

    Majukumu haya ya msingi ya JWTZ (Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania) ni muhimu sana kwa ustawi wa taifa letu na usalama wa raia. Lakini, ni vyema tujitahidi kutafakari kwa undani kuhusu utekelezaji wake katika mazingira ya sasa. Hebu tuangalie kila kipengele kimoja kimoja: 1. Kulinda...
  11. Unahitaji Mwamba kweli kweli kusimamia utekelezaji wa Dira 2050

    Bila shaka mwamba amepatikana Yaani Mwigulu Nchemba. Tanzania ya leo inakabiliwa na Changamoto ya baadhi ya vibaraka wanaowezeshwa na mitandao ya nje ya nchi kutuondoa kwenye shabaha ya maendeleo. Ni vyema kumpata Mwamba huyu wa Kanda ya Kati, aliyesoma kaskazini na mjini pia Hongera Mwigulu...
  12. L

    Mijadala ya sera kati ya Tanzania na China kuinufaisha Tanzania katika utekelezaji wake wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

    Wakati China ikielekea kuainisha mipango yake ya maendeleo ya taifa kwa miaka mitano ijayo (2026 hadi 2031) baada ya kumalizika kwa Mpango wa 14 wa Miaka Mitano wa China (2021-2025), hivi karibuni Tanzania imezindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kufikia lengo kuu la kujenga Taifa jumuishi...
  13. Menejimenti MOI yapigwa msasa utekelezaji Bajeti 2025/26

    Menejimenti ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imepatiwa mafunzo ya utekelezaji bora wa bajeti ya maendeleo ya Taasisi hiyo ya mwaka wa fedha 2025/26 ili kuendelea kuboresha huduma kufikia dira ya taifa ya 2050. Hayo yalibainishwa Agosti 26, 2025 na Meneja Mipango...
  14. Msauni aeleza utekelezaji wa Ilani ya CCM jimbo la Kikwajuni

    Waziri wa kuwa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) na Mbunge wa Kikwajuni Zanzibar, Hamad Yusuf Masauni ameeleza mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitano (2020- 2025) katika jimbo hilo akiwashukuru wapiga kura wake.
  15. M

    Msaada ninaomba kuambiwa ni chuo gani ? Kina toa shahada ya ufuatiliaji na utekelezaji wa miradi kwa Tanzania

    Msaada wa vyuo au chuo kinacho toa shahada ya ufuatiliaji na utekelezaji wa miradi Tanzania
  16. UNAWEZA UKAJENGA NYUMBA NZURI BILA LANDSCAPE NZURI INAPOTEZA MVUTO KARIBU TUKUPE DESIGN NZURI NA UTEKELEZAJI PIA 0624004650

    WE DO DESIGN AND BUILD CALL/WHATSAP +255624004650
  17. R

    GE2025 Waziri wa Maji, Jumaa Aweso awaonya wakandarasi Mradi Miji 28 muda wa utekelezaji kutoongezwa

    Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso , Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Awesowote wanaoshiriki katika utekelezaji wa Mradi wa Maji kwa Miji 28, akisisitiza kuwa hakutakuwa na nafasi ya kuongezewa muda kwa wakandarasi watakaoshindwa kukamilisha kazi kwa wakati Ametoa kauli hiyo jijini Dodoma wakati wa...
  18. SADC yaitaja Tanzania kinara utekelezaji ajenda ya nishati safi ya kupikia

    SADC YAITAJA TANZANIA KINARA UTEKELEZAJI AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA 📌 Rais Samia aendelea kupongezwa kwa kuwa kinara wa Nishati safi ya Kupikia Afrika 📌 Mhe. Kapinga ataka mikakati, ubunifu utekelezaji nishati safi ya Kupikia Jumuiya ya SADC 📌 Asisitiza uelimishaji matumizi ya nishati...
  19. Wanasimba wenzangu tujikumbushe ahadi za Jay Rutty, muda wa utekelezaji ndo huu

    Kampuni ya Jay Rutty ndo ilishinda zabuni ya kutengeneza na kuuza jezi za Simba na kuwa waliweka mezani zaidi ya billion 38, Hilinlilikuwa jambo tamu masikioni mwa wanasimba Mbali na mapesa hayo Jay Rutty aliahidi ahadi kedekede 1. Kujenga uwanja Bunju wa Mashabiki zaidi ya 10,000 Hadi Leo...
  20. • Serikali yaipongeza tarura, miji 11 ikisaini utekelezaji mkataba wa Tactic

    SERIKALI YAIPONGEZA TARURA, MIJI 11 IKISAINI UTEKELEZAJI MKATABA WA TACTIC Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amebainisha kuwa Serikali inatambua jitihada na kazi nzuri inayofanywa na Wakala ya barabara za Mijini na Vijijini TARURA...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…