Hizi ndoto zinasumbua sana sana,
Huwa naota nakula masive food,iwe stew,nyamachoma,wali ugali.pilau etc
Na kunakuwepo chakula kingi sana
Na watu wote nawaona tunajuana kabisa
hata jana nimeota nakula tilapia choma mkubwa tu.
Na best friend.
Problem nikiamka,sijiskii kula Chochote
,tumbo limejaa...