ushirikina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. demarine

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli ili mtu uendelee kibiashara ni lazima ufanye ushirikina?

    Watu wengi ambao ni wafanyabiashara/wajasiriamali wamekua wakiusishwa/wakiamini kuwa ili kufanikiwa katika biashara itabidi ufanye ndumba kidogo ili mambo yaende sawa. Leo naomba tupeane uzi juu ya ili kwamba ni je kuna ukweli wowote kwamba ili mtu afanikiwe yampasa kufanya ndumba au la...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kumalizika kwa tembo wetu ni vita kamili kati ya askari wa wanyamapori na majangili, nguvu ya ushirikina

    Huko porini wanapokutana katika makabiliano ya silaha kati ya askari wa wanyama pori na majangili wa nyara za serikali hua hakuna mateka. Ama afe/wafe askari au afe/wafe majangili. Hua ni vita kamili, kubwa, kali na yakikatili sana. Nimefanya mazungumzo na watu mbalimbali ikiwemo wazee wenye...
Back
Top Bottom