Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,030
- 71,248
Umeamua kwa hiyari yako kuwa na mtu, unajua na yeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaa
Ya nini haya sasa jamani?
Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia hata mama yangu hajawahi kupika namna hii kumbe ni Dawa. Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisani, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikoni nichemshe Chai, sasa kutafuta majani
Asalaleeeeeeeee nakutana na haya majitu. Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh. Au ni Viungo? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo
Mie nakuta misosi misosi
Ya nini haya sasa jamani?
Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia hata mama yangu hajawahi kupika namna hii kumbe ni Dawa. Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisani, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikoni nichemshe Chai, sasa kutafuta majani
Asalaleeeeeeeee nakutana na haya majitu. Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh. Au ni Viungo? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo
Mie nakuta misosi misosi