1. CCM imepata wabunge wangapi kati ya wabunge wote?
2. Watumnasiri sana, kumbe Jerry hakurudi bungeni, kweli power is transient, tuheshimiane, dunia mapito.
3. Kwa ushindi huu mnono, mbona sioni pongezi zikimiminika? Ukiachia kejeli za Lucas Mwashambwa.