urusi

Urusi was a civitas and ancient episcopal see of the Roman province of Africa Proconsularis in present-day Tunisia.
The town flourished from 30BC until 640AD and has been tentatively identified with ruins at Henchir Soudga, (9.57727n 35.98709e) in Siliana Governorate. The ruins lie just outside the Jebel Serj National Park.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Jamaa aua watu sita na kujiua Urusi, raia wameanza kuchanganyikiwa

    Taifa limefika pabaya, damu ya watu wa Ukraine itawatia pabaya Warusi....wajaribu na kurekebisha mapema... Ukraine walikua wanaendesha nchi yao kwa amani, tena kidemokrasia walikua wameizidi Urusi, unawakuta na kusambaratisha nyumba zao, na kuwaua halafu unategemea watu wako waishi kwa amani...
  2. MK254

    Soko la hisa la Urusi lazidi kushuka na kuvurugika huku vikwazo zaidi vikitazamiwa

    MARKET EXTRA Russian stocks sunk to levels not seen since 2017 on Monday, weighed by a global market selloff, threats of more sanctions and signs of continued unrest after last week’s partial mobilization. MSN
  3. MK254

    Ukraine waharibu kikosi cha Urusi, 144th Guards Motor Rifle Division

    Shughuli inaishia Crimea.... Three weeks ago, the Ukrainian army’s northeastern counteroffensive dismantled one of the Russian army’s elite units: the 1st Guards Tank Army. Now the same counteroffensive reportedly has wrecked a new motorized infantry division the Kremlin stood up a few years...
  4. Lady Whistledown

    Rais Ruto: Kenya iko tayari kununua mafuta kutoka Urusi

    Ikiwa baadhi ya Nchi Duniani zimekata ushirikiano na Russia tangu vita yake dhidi ya Ukraine, Rais William Ruto amesema wanazingatia machaguo yote yaliyopo ili kupunguza bei ya Mafuta Nchini humo Amesema, "Sasa nitaendelea na ajenda ya kuhakikisha kuwa tuna uhusiano kati ya Serikali na Serikali...
  5. MK254

    Kiwanda kikubwa cha swahiba wa karibu sana na Putin chaungua

    Mkilazimisha maskini wakafie Ukraine, basi na matajiri hambaki salama. ========= Ahuge fire broke out at a Russian steel plant owned by Roman Abramovich, an ally of President Vladimir Putin, videos circulating on social media showed. Over the weekend, in the city of Novokuznetsk in Russia's...
  6. S

    Gaidi la kijerumani lashambuli shule nchini Urusi na kuuwa watu 13 wakiwemo watoto 7

    Gaidi la kijerumani lenye mrengo wa neo-fascism limeshambulia shule moja nchini Urusi na kuua watu si chini ya 13 wakiwemo watoto 7. Waliojeruhiwa ni watu wazima 14 na watoto 7. Gaidi hilo la kijerumani lenye umri wa miaka 25 limetiwa nguvuni na tayari limefunguliwa kesi. Kwa mujibu wa...
  7. S

    Majeshi ya Urusi yaishambulia Ukraine kwa mizinga usiku kucha!

    Ukraine yalia kilio cha kusaga meno...yasema majeshi ya Urusi yamenyeshelezea mvua za moto wa mizinga na maroketi kwenye wilaya ya Nikopol pamoja na maeneo ya Nikopol, Marhanets, Chervonohryhorivka, na Myrove. Habari hii inaripotiwa na serikali ya Ukraine yenyeweee🤣🤣😂😂😅😅😅 ======
  8. J

    Urusi: Mtu mwenye silaha avamia shule, aua watu 6 na kujeruhi 20

    Mtu mwenye silaha avamia shule na kuuwa Watu 6 na kujeruhi 20 ========= 6 dead, 20 wounded in school shooting in Russia MOSCOW (AP) — A gunman on Monday morning killed six people and wounded 20 others in a school in central Russia, local police said. Governor of the Udmurtia region, Alexander...
  9. JanguKamaJangu

    Marekani: Urusi ikitumia Nyuklia tutaingilia kati moja kwa moja

    Mshauri wa Masuala ya Usalama wa Marekani, Jake Sullivan ametoa kauli hiyo baada ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin kunukuliwa akigusia uwezekano wa Nchi yake kutumia silaha hizo katika vita dhidi ya Ukraine. Sullivan hajafafanua ni kwa namna gani watajibu mapigo moja kwa moja lakini amesema...
  10. MK254

    Toyota yaihama Urusi rasmi, kisa vikwazo vilivyowekewa nchi hiyo

    Kama ambavyo imekua desturi sasa, Toyota ni mojawapo wa makampuni ambayo yamehama Urusi rasmi, nchi inaendelea kutumbukia kwenye shimo kiuchumi, huku Putin akikusanya wanywa gongo wakapambane pale wanajeshi rasmi wameshindwa..... Amid Russia's ongoing war with Ukraine, Toyota announced it will...
  11. Expensive life

    Jeshi la Ukraine laweka hadharani picha ya mwanajeshi wake alitoka matekani Urusi.

    Aiseeh kuna watu wanajua kutesa.
  12. Titicomb

    Kura ya maoni kujiunga Urusi, tangazo la kuongeza askari wa akiba: Maneno ya Putin yanatimia kuhusu malengo ya uvamizi wa Ukraine?

    Habari wana JF, Siku nyingi zimepita sijaandika mjadala(thread) humu jukwaani. Leo nimesukumwa kuandika mtazamo wangu juu ya kinachoendelea nchini Ukraine wakati huu wa vita dhidi ya uvamizi wa Urusi(Russia). Raisi Vladimir Putin mara kwa mara amekuwa akirudia kusema malengo yote ya nchi yake...
  13. MK254

    Ndani ya masaa 24, Urusi wamepoteza ndege ya kivita, helikopta na vifaru 18

    Huku Ukraine wakiendelea kusubiri wanywa gongo wanaotumwa na Putin kuja kupigana kwa niaba ya wanajeshi waliokimbia mapambano, Ukraine bado wanatembeza kichapo..... Russia suffered significant losses of military equipment both in the air and on the ground over the last 24 hours, the Ukrainian...
  14. MK254

    Wanywa gongo walewa chakari wakiwa safarini kwenda kupigana pale wanajeshi wa Urusi wameshindwa

    Putin ameamua kukusanya wanywa vodka mitaani wakapigane pale ambapo wanajeshi rasmi wa Urusi wameshindwa mpaka kutoroka mapambano...... Chaotic scenes have been shared on social media following Vladimir Putin's mobilization decree amid reports that the authorities are looking to draft far more...
  15. MK254

    Siri imevuja namna Marekani alivyoionya Urusi kuhusu matumizi ya nyuklia Ukraine

    Kwamba siku akitumia nyuklia ndio atakutana na anachokitafuta. Wazimu mwenye haraka ya kubonyeza vitufe vya nyuklia, hataruhusiwa dunia hii. ====== The U.S. has privately been warning the Kremlin for months of consequences if they use a nuclear weapon in their conflict with Ukraine, according...
  16. Webabu

    Urusi ikishindwa, China ijitayarishe na Marekani hatamtawala mtu

    Kasi ya kusambaratika jeshi na nguvu ya Urusi ni kubwa kiasi kwamba natabiri hatoweza kuidhibiti Ukraine ijapokuwa tayari ameikamata pazuri. Hapo sioni yeyote kuwa ni shujaa katika kuleta hali hii. Si kwamba Zelensky ni shujaa wa vita wala si kwamba HIMARS ndio zimeleta mabadiliko hayo. Na wala...
  17. Messenger RNA

    Mkuu wa kanisa la orthodox nchini urusi awaasa wanaoenda ukrane wasiogope kufa.

    Mkuu wa kanisa la orthodox nchini urusi,mwandani na kiongozi mwenye ushawishi mkubwa nchini humo amewaambia makuruta watize wajibu wao na wasiogope kufa kwani hata wakifa wataenda kupumzika mbinguni. My take: Kiongozi huyu anajua hawatarudi urusi,ndio basi tena himars zinaenda kuwafyeka.Putin...
  18. kt the irreplaceable

    Special military operation (vita) ya Urusi kwa Ukraine, je yangekua mataifa mengine wangeweza?

    "For capitalism, war and peace are business and nothing but business" Karl Liebknetcht. Katika dunia yetu hii ambayo ubepari umeshika hatamu vita na amani vyote ni biashara kwa wakubwa, vita ni gharama hakuna aneyepoteza pesa au rasilimali bure. Miaka ya 1950s Marekani aliingia vita na...
  19. MK254

    Raia wa Urusi wakerwa na kitendo cha kubadilishana mateka wa Ukraine 215 kwa Warusi 50

    Urusi wameachia makomando wakiwemo wale wa Marioupol 215 ili kubadilisha na Warusi 50, raia wa Urusi wamekerwa sana yaani nchi yao imefika mpaka kwenye kudhalilika kiasi hiki..... Aprisoner exchange between Russia and Ukraine that included senior Ukrainian commanders was hailed as a victory by...
  20. Sigonella Island

    Rais Putin aziambia nchi za Magharibi kuwa Urusi ina silaha nyingi za kuwafyeka

    Putin amewaonya West kuwa Russia inayo silaha zakutosha na kuifyeka NATO ======== Russian President Vladimir Putin has announced that 300,000 reservists will be drafted into the army in a partial mobilisation, as he warned West he was not "bluffing" over nuclear weapons. Defence Miniser...
Back
Top Bottom