Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma imebaini kughubikwa na vitendo vya rushwa ya ngono katika upangaji wa vituo vya kazi kwa waajiriwa wa idara ya elimu.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma, Sosthness Kibwengo akitoa taarifa kuhusu utendaji wa taasisi hiyo, amesema...
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu ya Nipashe Jumapili
Tanzania tulipopata Uhuru ile Desemba 9, 1961, sisi Tanzania tukiwa na rasilimali lukuki, lakini sasa hapa tulipo, tukijilinganisha na baadhi ya wenzetu nchi tulizopata nazo uhuru, wengi with nothing compared, kiukweli kabisa, sisi tumeachwa...
Wataalamu wa serikali ya awamu ya tano wa Jiji la Arusha wameona wawapange wamachinga kwa mfumo huu
1. Soko la Mbauda litakuwa la nguo za mitumba.
2. Soko la Machame Luxury litakuwa la vyombo na vifaa vya umeme.
3. Soko la Ulezi litakuwa maalumu kwa nguo za dukani.
4. Soko la Kilombero...
Jiji la Dar limekaa vululuvululu sana, watu wamejijengea tu nyumba bila mpangilio wa kueleweka. Ni sehemu chache sana za mji hasa za katikati ya jiji ambazo ndizo zimekaa inavyopaswa.
La sivyo hizi mbwembwe za kuwafukuza wamachinga ni just a temporary solution to a permanent problem.
Upangaji wa makundi unaendelea muda wakati tayari kombe la shirikisho wawakilishi wa Tanzania timu ya Namungo imedondokea kwa timu ya CD1 de Agosto ya Angola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.