Headcorner
Senior Member
- Nov 26, 2020
- 188
- 277
Upangaji wa makundi unaendelea muda wakati tayari kombe la shirikisho wawakilishi wa Tanzania timu ya Namungo imedondokea kwa timu ya CD1 de Agosto ya Angola
Acha uoga hili kundi halina utofauti mkubwa na mwaka juzi hapo tukipambana tunapita.Al ahly
AS vita
Simba
El merreikh
Daaaa tumeumiaaaa!
Wanalazamishwa kwani Kuna kukubali?Simba ijipange maana As Vita hawatakubali kirahisi wapitozee tena.
Vita mlichowafanya msimu ule hapa Dar hawatakubali ..safari hii watatoa kipigo home na ugeniniAnyway kila mtu ashinde mechi zake nyumbani...
Vita mnawachukulia poa?Simba tumeingia robo fainali tayari hapo wa kututisha ni Al ahyl pekee
Ni vyema mkaanzia ugenini huko mkaze tako kabisaMechi ya Kwanza tuanzie nyumbani na elmerekh
HahahaaaNi vyema mkaanzia ugenini huko mkaze tako kabisa
Nyumbani tunapata moraliNi vyema mkaanzia ugenini huko mkaze tako kabisa
Bonge la fact.Acha uoga hili kundi halina utofauti mkubwa na mwaka juzi hapo tukipambana tunapita.
Hata hizo timu hapo zinahofu kupangwa na Simba mkuu.
Hakuna kundi laini hatua hiyo.Kundi la kifo
Vita hawana maajabu mara nyingi huuishia hatua ya makundi hata msimu uliopita ilikuwa hivi hivi kwao hawa mabwanaVita mnawachukulia poa?