Wakuu, natumaini hamjambo.
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana, nina hiyo router ya CPE 5s; ila tatizo inatumia tu laini moja.
Je, kuna mtu anaweza unlock ili iweze kusoma laini tofauti?
Inaonekana hii simu ilitumika huko marekani kwenye kampuni ya AT&T.
Nikiiwasha bila line inawaka vizuri. Nikiweka line inanitaka ku unlock network code.
Kwankuwa nipo mkoani, na huku mafundi hamna kuna ujanja bila mafundi wa software?
mkuu Chief-Mkwawa
https://www.youtube.com/watch?v=qQEXbLvZou4
In the bustling heart of a nameless metropolis, where dreams often fade into the monotonous hum of daily routines, a young artist named Elias found himself trapped. Not by iron bars or physical constraints, but by the invisible chains of his own...
Habari wakuu,
Wiki chache nyuma nilikuja jukwaani kuomba msaada wa jinsi ku block users amabo wanapata access ya password,
Baada ya kuitumia Router ya Airtel kwa kipindi kirefu sasa imeanza kunipa kuchangamoto kadhaa ikiwepo kupungua kwa kasi ya internet nimechoka kuvumilia ikumbukwe nalipia...
Hapo zamani mitandao ilileta routers na modem za kampuni maarufu kama Huawei na zote,
Ma IT na mafundi wengi waliweza kuzifungua kwasababu wazungu, wachina, wahindi, waarabu, n.k. walikuwa wanaumiza vichwa kubuni mbinu za kuzifungua, mafundi wetu walikuwa wanafuata maelekezo, modem na router...
Kuna wakati mwingine radio yako inajifunga baada ya kubadilisha betri ya gari lako.
Ukipata tatizo hilo usisite kutupigia kwa namba hii 0687746471 tutakufungulia radio yako.
Karibuni.
Ni sisi
CarRadio Unlock Solutions.
Hiki ni kisa ambacho kitakufanya uweze ku unlock abilities(uwezo) ambao upo ndani yako.
Hapa tunaona mfano wa simba mdogo ambaye amekua tangu akiwa mdogo pamoja na kundi la kondoo, hali iliyomfanya adhani yeye ni kondoo na kuishi pamoja na kula majani kama kondoo.
Hali hii iliendelea hadi...
Wakuu natafuta mjuzi wa hii modem nimejaribu mimi binafsi nimekwama nimeona nije hapa wajuzi mnaweza nipa muongozo au kama yupo mtu anazi unlock uniunge nae nitshukuru...
Found Applications port COM7
Found modem : E3372
Model : Huawei AuthVer 4 modem (New)
IMEI...
Habari za majukumu wandugu, naombeni msaada wa program itakayoweza kunisaidia kuondoa simlock katika simu aina ya amazon au kama kuna mtu anaweza kufanya kazi hii aje PM
Natanguliza shukrani.
Wakuu hii simu inaniumiza kichwa nimejitahidi kuitafutia ufumbuzi wa hili tatizo lakini bado sijaweza kufanikiwa
Ina CPU ya Qualicomm nimejaribu kutumia NCK but nothing changed
Kama kuna mtu alishawahi kukumbana na tatizo kama hili kwenye simu hizi za kijapan akafanikiwa kutatua naomba tupeane...
(Please read it to the end...we are facing the same problem).
Education is a key that doesn’t fit to unlock economic opportunities for the youth
Alupheli | 02 December 2020
Many people from the black community get their degrees each year and hope for a job, not even a good paying job. Times...
Habari wakuu, ninaomba msaada wa ku unlock hii vodafone router (vodafone R207-Z) ili niweze kutumia mitandao yote.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Habari wandugu,
Naomba kuuliza kwa waelewa wa mambo jinsi ya kuondoa activation lock (Icloud unlock) kwa apple devices i.e iphone, ipod, ipad, apple watch etc.
Pia isiwe bypass/jailbreak. Yaani baada ya kuondoa iweze kupokea latest ios update na pia waweza reset.
Naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.