Duuh skujua kama issue itakuwa serious kama hv
Daaaah ukiskia think out of the box ndo hii sasa you get a point man naunga mkono hojaMuulize Girlfriend wako au mke anajua nakuapia,achana na hawa viumbe
Ninao uwezo wa kukusaidia kama wewe ni mnunuaji wa kwanza wa hiyo simu...na kipindi unainunua ilikuwa mpya kabisa...! lakini kama uliiokota au ulinunua Kwa mtu haitofungukaSimu ni yangu mkuu....kwann umeuliza hvyo?
Npe msaada kama una ujuzi wowote
Nilipatiwa mkuu na ndugu yang ikiwa full na mabox yake ila aliitumia kwa muda kidogo.....Ninao uwezo wa kukusaidia kama wewe ni mnunuaji wa kwanza wa hiyo simu...na kipindi unainunua ilikuwa mpya kabisa...! lakini kama uliiokota au ulinunua Kwa mtu haitofunguka
Mzee iphone sio watu, utakuja kunipa mrejesho, nishapata tatizo kama lako nimeliwa pesa sana mpaka na mafundi wa Nairobi, mpaka leo nina ipad ipo locked tu na ni mpya!!! Iphone kwenye security hakuna shortcut utaibiwa tu nakuhakikishiaDuuuh hilo wazo la spare hapana...naamini wapo wataalamu wa kulisolve hili
Unaamansha ni iPhone ngapi au...?
Kama ndo hvyo jibu ni 8
Hiyo haitopona...mwenye uwezo wa kuiponyesha ni huyo ndugu Yako alieinunua mara ya kwanza...mrudishie akufungulieNilipatiwa mkuu na ndugu yang ikiwa full na mabox yake ila aliitumia kwa muda kidogo.....
Nisaidie mkuu..