ulinzi na usalama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Eti Kwamba TANZANIA nayo ina inteligence,kwamba tunavyombo vya ulinzi na usalama vyenye uzalendo kwa Taifa lao! Hebu acheni dhihaka.

    Uzalendo wa kweli si kupambana na wananchi na raia wanao toa maoni pinzani dhidi ya mwenendo usio ridhisha wa serikali yao waliyo ipa dhamana . Bali ni kupigania usalama wa taifa na rasilimali zake zote kwa maslahi ya taifa na na raia wake ndivyo ilivyo kwa mataifa mengi duniani yanayo piga...
  2. The Burning Spear

    Msingi wa uzalendo na uadilifu wa vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania ni upi?

    Nimekuwa nikifuatlia mwenendo wa matukio mbalimbali hapa Tanzania Kuhusu rasilimali zetu mda mrefu toka enzi za mkapa kashifa za Rada na EPA. Tukija kwa Kikwete mambo ndo yalikuwa ya hovyo japo hii ESCROW na DOWNS Msingi wake ni awamu ya mkapa. Ila kipindi cha Kikwete uozo ulikuwa mwingi...
  3. The Burning Spear

    Anachokifanya polepole ni kuvivua nguo vyombo vya ulinzi na usalama TZ siyo CÇM hata Raisi hayupo salama chini ya wanamtandao.

    GT Ukifuatilia kwa umakini madai ya polepole tatizo utagundua ni wanausalama wetu siyo CCM. Vyombo vyetu vipo corrupted na wanasiasa kiasi kwamba hawaoni mambo yenye kuhatarisha usalama na maendeleo ya nchi. Tujiulize. 1. Mpaka mkataba wa Bandari unasainiwa kinyemela walikuwa wapi. 2. Mtu...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Shekhe Ponda: Kunatatizo kubwa sana kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na vinahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa sana

    Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema kuna tatizo kubwa linaloikumba sekta ya ulinzi na usalama nchini, na kusisitiza kuwa vyombo hivyo vinahitaji kufanyiwa marekebisho makubwa ili viweze kutimiza wajibu wake ipasavyo
  5. Chief Sam

    Binafsi kwa mambo yanayoendelea nchi hii imani sina na vyombo vya usalama nchi

    Habari ya jioni wakuu, Binafsi kwa mambo yanayoendelea nchi hii imani sina na vyombo vya usalama wa nchi. Vinatumia nyadhifa zao kukandamiza raia na kutetea tabaka tawala bila hofu kwa sababu mihimili mikuu ya nchi hii haiko huru. Imefika mbali tunaanza kutoana uhai sisi kwa sisi ,hii laana...
  6. Z

    Ushauri kwa vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama viwe makini sana na hawa wahuni wa Chadema kwani wana nia ovu ya kuchafua amani na utulivu wa Nchi yetu

    Ushauri kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama waendelee kuwafuatilia hadi chooni hawa wahuni, genge la kihalifu ambao wamejificha kwa mwamvuli wa kisiasa Chini ya Chama Cha Chadema. Genge hili kila kukicha lina panga na kuratibu mipango miovu ya kuchafua amani ya nchi, kufanya matukio ya...
  7. M

    Msaada wakuu wa idara za afya na vyombo vya ulinzi na usalama

    Kuna nafasi za ajira jeshi la Magereza zimetoka na nna mdogo wa kwa upande wa mama wa kambo anataka kuomba,lakini yeye ana changamoto ya kuishi na Virusi vya ukimwi. Je kwa mwenye uzoefu anijuze ; inawezakana akapata nafasi endapo vigezo vyote anavyo isipokua hapo kwenye suala la afya ambalo...
  8. Carlos The Jackal

    Serikali ya Samia kumbe iliwafunga Kimyakimya Baadhi ya Viongozi wa Kimasai Gerezani Kwa sababu tu Walihamasisha Ndugu zao wasikubali kuhamishwa

    Wakuu huyu mama ni Katili sana haijapata Kutokea !!. Kumbe Baadhi ya Viongozi wa Kimasai Eneo la Ngorongoro, walikamatwa Kwa Nyakati tofauti tofauti majira ya Usiku, na Kusafirishwa kimya kimya mpaka Gereza la Kisongo Arusha ambapo walikaa Jela hiyo Kwa miezi zaidi ya Sita. Yaani ni...
  9. Ponjoro wa Kinondoni

    Hatimaye ndoto yake imezimwa Ghafla. Hongera sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kazi iliyo tukuka

    Kuna mwana mama mmoja alikuwa anatapeli watu viwanja na mali zao, yani anaweza uza swiming pool yako kwa mwarabu bila kukushirikisha, anaweza uza mashamba yako ya miti na mifugo bila kukushirikisha na humwambii kitu, ukiongea tu unapotea mazima. Hatimaye amedhibitiwa. Asanteni sana vyombo vya...
  10. Mshana Jr

    Hivi, kweli kabisa Vyombo vya Ulinzi na Usalama waliamini Polepole yuko Tanzania?

    Majira ya saa tano usiku wa jana walivamia kwa dadaake na Polepole kwa kile kinachosemwa kusaka taarifa! Uhalisia ni kwamba "walipangwa" wakapangika wakaingizwa cha city kwamba muhuni yuko nchini Nina hakika walishakagua entries zote na kujiridhisha kwamba muhuni hajazitumia.. Ila kwakuwa...
  11. N

    Mtazamo wangu juu ya kauli ya Rais Samia "Tusilazimishe vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kufanya mengine"

    Habari za leo wapendwa, Katika muendelezo wa ziara za mh.Rais katika kanda ya ziwa ,mengi yanatokea,na mengi yataendelea kutokea. Hii inashaabiana moja kwa moja na kauli ya wahenga inayosema "kwenye wengi kuna mengi" Binafsi sishangazwi sana na mijadala mbalimbali inayoendelea kwenye mitandao...
  12. Inside10

    Rais Samia: "Tusilazimishe Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama Kufanya Mengine"

    Mengine hayo ni yapi?!! Msikilize Mh kwenye video hii fupi
  13. Dominik Dominik

    Protokali/Itifaki za Vyombo vya Ulinzi na Usalama na Mishahara yao

    Oya wadau Hivi protocal haiuhisiani na malipo ya hivi vyombo? Kwa mfano,Katika vyombo vyote vya ulinzi JWTZ,POLICE,MAGEREZA,TISS,UHAMIAJI,ZIMAMOTO hapo chombo mama(senior force) ni JWTZ then vinafwata POLICE nk kama nilivyoviainisha hapo navovitaja.Mkuu wa JWTZ ndiye mwenyekiti wa ulinzi na...
  14. funaku

    Observation: Maadili ya vijana yameshuka baada ya Jando na Unyago kuondoka ?

    Hii ni observation yangu. Baada ya Utandawazi kubomoa mfumo huu muhimu wa jamii yetu kwa kisingizio cha uasherati na ukeketaji sasa ndio tunaanza kuona matokeo yake halisi. Vijana balehe wanaingia ukubwani bila kupata dose muhimu ya mabadikiko ya kimaumbile,jinsi ya kuishi na mwenza ,jinsi ya...
  15. Crocodiletooth

    Mh. Rais wetu mpendwa, akae na waandamizi wa ulinzi na usalama waje na tamko!

    Asalam aleykum!, Kwa uoni wangu hafifu, ningeliomba waandamizi na kamati zote za kiusalama, kuyajadili madhaifu yote yanayolalamikiwa na hatimaye kuja na suluhisho moja, namna jinsi watakavyojipanga kuhakikisha madhaifu yote, yanashughulikiwa kwa ukaribu pamoja na ulinzi kuimarishwa zaidi, huku...
  16. meningitis

    Kamati ya Bunge Ulinzi na Usalama haina budi kujadili mwenendo wa Kenya katika siasa za Tanzania!

    Yapo matukio kadhaa ya kisiasa yaliyotokea na yanayoendelea kutokea nchini mwetu nyuma yake kukiwa na factor moja muhimu yaani #Kenya# hii trend sio ya bahati mbaya kama unachambua mambo kwa kina. mfano: 1-Lissu baada ya kupigwa risasi alienda kitibiwa Kenya. 2-lema alitorokea kupitia Kenyana...
  17. Gordon Technology

    Wauzaji Vitasa vya kufungua kwa fingerprint na password in Dar es salaam

    Piga 0746373222 Kwa mahitaji ya vitasa janja (smart lock) yani vitasa ambavyo unaweza kufungua kwa funguo za kawaida na pia ukitaka unafungua kwa password au fingerprint au app ya simu au card. Vipo vitasa kwa ajili ya milango ya mbao,milango ya alminium,milango ya vioo na pia milango ya...
  18. L

    Taifa letu bado ni Salama Na Lenye Usalama wa kutosha. Watanzania tembeeni vifua mbele na kujivunia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama

    Ndugu zangu Watanzania, Napenda kuwaambieni ya Kuwa Taifa letu na Nchi yetu chini ya Nahodha wetu Maridadi na Hodari Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru...
  19. Samia atosha tukutane2030

    Ni nani kaliroga Tanzania? mpaka sasa tuko busy kulinda kiti cha Rais

    DUNIA sasa iko kasi, nchi kama Rwanda inawaza kujitanua kiuchumi na kijiografia, Wazungu watu wenye akili wanawaza kujiimarisha kiuchumi kwa kupata rasilimali toka mataifa mbalimbali, nchi za Asia nazo wanawaza namna ya kuvuna rasilimali toka kwenye mataifa ya wajinga. Sisi Tanzania mpaka sasa...
  20. Doctor Mama Amon

    Polisi, Tume ya Uchaguzi, na Kamati za Ulinzi na Usalama Dar vinara wa kufanya uovu wa kimfumo: Tunakwenda wapi baada ya hapa?

    RC Chalamila akipiga marufuku mikutano ya kisiasa eneo la Kariakoo pasipokuwa na mamlaka ya kisheria kufanya hivyo Uovu binafsi hutendwa na mtu mmoja mmoja kutokana na maamuzi ya mtu mmoja huyo. Lakini, uovu wa kimfumo hutendwa na watumishi wa taasisi kutokana na maamuzi ya vikao vya ndani ya...
Back
Top Bottom