ukweli mchungu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stability

    Ukweli Mchungu: Hakuna kundi la vijana hapa bongo linaloongoza kufurahia maisha kama mabinti wenye makalio makubwa

    Wengine picha zetu za before and after bado mbavu zimekakamaa njaa tupu🤣 ila hawa tipwa tipwa kamechipukia juzi kana 21yrs old ila ghafla unaona kanapiga picha mara kapo ngoro ngoro mara dubai, mwaka kesho kana duka la nguo hapo sinza.
  2. H

    Huu Hapa Ukweli Mchungu Kuhusu MAFANIKIO Unaopaswa Ku-ufahama Mapema Sana Kabla Hata ya Kufikisha Miaka 25. Wengi Hujutia Sana Kwa Kuchelewa Kuufahama

    Ukweli Mchungu ni Kwamba.... Kila kitu kinachotokea kwenye maisha yako kina mzizi mmoja: NAMBA. Na cha kushangaza zaidi? Namba hazidanganyi. Hazisahau. Hazisamehi. Kipato chako ni namba Matumizi yako ni namba Akaunti yako ya benki ni namba Uwekezaji wako ni namba. Na hata kufeli kwako —...
  3. Dennis Robert Shughuru

    Ukweli mchungu- Viongozi waliokuwa madarani minaona acha waendelee sababu wananchi hai wanataka nini japokuwa sikubaliani na mambo mengi wanayoyafanya

    MIMI NIMETANGAZA NIA YA KUWA RAIS WA TANZANIA NI UKWELI WATU WANAHAKI YA KUNIPINGA ILA NASHANGAA SANA WATU HAO HAO UNAWAKUTA WANALALAMIKA KWENYE NYUZI NYINGINE Kuna watu kibao hawamsupport Rais Samia na ccm cha ajabu wanakuambia makonda anafaa, wengine dotto biteko, wengine makamba, wengine...
  4. LIKUD

    Ukweli mchungu: Ukifuatilia sana mambo ya dini, utabaini kuwa "Dini ni kwa ajili ya watoto"

    Au watu wazima wenye akili za kitoto ( The gullible ones). Story za dini hizi za wazungu na waarabu ni utoto utoto tu. Ni ajabu sana kuona mtu mzima bado ana amini kwa dhati kuhusu mambo ya dini. Baba zima bila aibu eti linaongea kuhusu adhabu ya kaburi au moto wa jehanamu etc. Ma Sheikh...
  5. Sheffer95

    Ukweli mchungu nilio ukubali ndo huu

    Hapa karibuni nilileta thread inayosema " Hivi wanaume wenzangu mlifanyaje" ukweli niliokuja kuujua ni kwamba kumbe yule mwanamke niliyetaka kumfanya mchepuko anafahamiana na mke wangu. Na kwakifupi ana muheshimu sana kwasababu huko nyuma kidogo mke wangu aliwahi msaidia kum connect mahali...
  6. Mangwea1900

    Ukweli mchungu kwa wanaume wote

    1. Kuwa mwangalifu na afya yako siku zote. 2. Jiwekeze kiuchumi kwani fedha itakuwa msaada wako umri ukienda. 3. Umri ukienda sana thamani inategemea hali yako ya kifedha. 4. Umri ukishaenda hakuna atakayekuajiri. 5. Watoto ulio nao wote wapi tayari kukaa na mama yao akiwa mzee kuliko wewe...
  7. Chibike

    Huu ni ukweli mchungu, nchi ya wanasiasa matajiri kuliko wafanyabiashara

    Hakuna nchi inayoweza kupiga hatua kubwa za kimaendeleo endapo SIASA zake zinalipa kuliko VIWANDA VYAKE,Katika nchi ambayo Wanasiasa ni matajiri Kuliko Wafanyabiashara na wajasiriamali, hapo ni lazima umaskini utanawiri tuu!!! Hayaa ni maoni yangu baada ya kukaa na kutafakari jinsi watu wengi...
  8. S

    PreGE2025 Ukweli mchungu: Waliokataliwa sio CHAUMMA, bali ni CCM

    Ukitafakari kwa kina, utagundua huu ndio ukweli . Mwanza hawajaikaa CHAUMMA, bali wameikataa CCM inayotuhumiwa kuifadhili CHAUMMA ili kiwe chama kikuu cha upinzani badala ya CHADEMA. Hasara ya CHAUMMA ni kupoteza hata ile imani kidogo watanzania waliokuwa nayo juu ya chama hiki. Somo...
  9. Mr Why

    Ukweli mchungu ni kuwa Wachaga hawawezi kuachia CHADEMA kilaini kama mnavyoamini, Wachaga na maslahi ni kifo tu ndo kinaweza kuwatenganisha

    Ukweli mchungu ni kuwa Mbowe hawezi kuachia CHADEMA kilaini kama mnavyoamini, Wachaga na maslahi ni kifo tu ndo kinaweza kuwaachanisha Hivi mnawajua Wachaga vizuri kweli kwenye mambo ya maslahi?? Au bado hamuwajui?? Wale jamaa bana kwenye mambo ya maslahi akishakuwa king'ang'anizi hawezi kuacha...
  10. K

    Ukweli mchungu ambao kila mtu anauona uwe CCM au CHADEMA lakini anaumia kimyakimya

    Ni kitendo cha Wanzanzibar kujazana Serikalini. Niseme nimeshuhudia awamu zote za uongozi lakini hakuna awamu iliyojaza wazanzibar Serikalini kama hii, karibu kila ofisi kila idara utawakuta, na hawajifichi kutokana na lafuzi ya kiswahili Chao. Sibagui mtu inauma maana wamechukua ajira za...
  11. Samia atosha tukutane2030

    Ukweli mchungu: Tatizo sio watekaji, tatizo liko vichwani mwa wananchi

    Watanzania wengi kichwani . Ukipiga stori na Mtanzania mwenzako utagundua hili. Ni wachache sana ukikaa nao mezani kupiga stori utaweza kuondoka na kitu. Wengi wataishia kuropokaropoka tu. Hii hali ya miongoni mwa Watanzania Mimi sijui ni man made au ni genes. Vyovyote vile iwe man made au...
  12. Damaso

    Ukweli Mchungu Kuhusu Ujengaji Misuli: Uzuri wa Ujana, Hatari ya Uzee

    Ujengaji wa misuli ni mchezo wa kuvutia unaohitaji nidhamu, mazoezi makali, na lishe bora. Kwa vijana, ni njia nzuri ya kujenga mwili, kujiamini, na hata kupata umaarufu au kipato. Mwili unaochongwa kwa ustadi huvutia wengi na kuashiria afya na nguvu. Lakini, kuna upande wa pili wa shilingi...
  13. Jack Daniel

    Ukweli mchungu , lazima usemwe

    Tuangalie mambo ambayo ni ya kweli ila yanapindishwa ili tu kupata faraja na huruma Kwa baadhi ya watu. 1.Dini ,manabii ,wachungaji na masheikh. Hawa kuna namna wameushikilia ulimwengu,licha ya kuwepo watu wachache wenye uelewa wa huu utapeli lakini bado most of them huwaambii kitu kuhusu...
  14. Lord Denning

    Ukweli Mchungu: Hakuna mtu anayefurahi sasa hivi kama Rais Samia ( Ana raha kweli)

    Kwa kifupi No Reform No Election haina madhara yoyote kwake 1. Akiikubali na kufanya Reform anakuwa Rais wa Kipindi cha Mpito cha Miaka 3 na kwa kuwa sifa zote atapata yeye kwa kukubali Reforms ana nafasi kubwa ya kushinda Uchaguzi utakapofanyika na kuwa Rais tena kwa kipindi cha Miaka 5...
  15. N'yadikwa

    Watanzania Wengi ni Wavivu – Kauli ya Mtume Boniphace Mwamposa na Rais Mstaafu Mkapa Zinagusa Ukweli Mchungu?

    Mtume Boniphace Mwamposa ametamka: “Watanzania wengi ni wavivu ” Watu wakakasirika, wengine wakabaki kimya. Lakini hii si mara ya kwanza kauli hii kusemwa na mtu maarufu kama Mtume Mwamposa. Mwaka 2011, Rais mstaafu Benjamin Mkapa aliwahi kusema waziwazi kuwa “Watanzania tumejaa visingizio...
  16. Daby

    Ukweli mchungu: SADC kwa week kadhaa imekuwa inaiomba M23 ruhusa ya ku-withdraw pamoja na vifaa vya kijeshi vilivyo twaliwa na M23

    Rwanda na M23 kwa wakati mwingine wameziaibisha nchi zaidi ya 10 ukanda wa Kusini mwa Afrika. Kwa tetesi zilizopo kwa zaidi ya week tatu sasa majeshi ya SADC yamekuwa yanaiomba M23 kurejesha silaha walizotwaa kutoka vikosi vya SADC na ruhusa ya kupita Goma wakati wakurudi nchi zao. Kumbuka...
  17. Waufukweni

    Huu ndio ukweli mchungu! Usimba na Uyanga ukiwekwa pembeni, Eng. Hersi anafaa kuwa Rais wa TFF baada ya Karia kumaliza muda wake

    Wakuu Huu ndio ukweli mchungu! Usimba na Uyanga ukiwekwa pembeni, Eng. Hersi anafaa kuwa Rais wa TFF baada ya Karia kumaliza muda wake Eng. Hersi ana sifa na uzoefu mkubwa katika uongozi wa soka, hasa kupitia nafasi yake ndani ya Yanga SC, tangu amechukua nafasi hiyo kubwa katika ngazi ya...
  18. NALIA NGWENA

    Ukweli Mchungu: Kibwana Shomari ni beki Bora (kitasa haswa) Kuliko Israel Mwenda Hilo halipingiki

    Nimeamua kulitumia Jukwaa hili la habari za Michezo kwa lengo la kufikisha ujumbe kwa benchi la Yanga SC. Ndiyo ni ukweli usiopingika Huu, Kibwana Shomari ni talanta kubwa sana inayofanyiwa Figisu, Kila mmoja ni shahidi huyu bwana mdogo Kipindi na Kocha Nabi alipigika Miguu yote Beki namba 2...
  19. BWANA WANGU

    Hakuna kitu inauma kama kazi za kujitolea

    Wanangu majobless, Hakuna kitu inauma kama kazi za kujitolea. Yani unakuta hadi mwaka unakata, ukiangalia umri unaenda dah noma sana.
  20. Ghayo El Yehudi

    Ukweli mchungu: Dhana ya kusoma uwe upate kazi na uwe na maisha mazuri inapotea na kufutika kabisa

    Mzuka Wana jamvi.... Mika ya nyuma na kipindi nipo mdogo kulikuwa na wimbi kubwa la Wazazi na Jamii kwa ujumla wakihamasisha watoto wasome ili waukimbie umasikini wapate kazi na wawe na maisha mazuri , na ilikuwa unatishwa kweli kweli kuwa ukizingua tu maisha yatakushikisha adabu. Baada ya...
Back
Top Bottom