ukumbi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. IamBrianLeeSnr

    Serikali kufanya kongamano la kwanza la kodi kitaifa, linalotarajiwa kufanyika Januari 11, 2023 jijini dar es salaam katika ukumbi wa JNICC

    Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imeanzisha Kongamano la Kodi Kitaifa litakalowashirikisha wadau mbalimbali ikiwemo Sekta Binafsi ili kajadili namna ya kuboresha Sera za Kodi, kuchochea ukuaji wa uchumi, biashara na uwekezaji nchini. Hayo yameelezwa na Kamishna wa Sera kutoka wizara...
  2. mrengo wa kushoto

    Biashara ya kukodisha ukumbi kwa shughuli mbalimbali

    Ndugu wadau nimeleta uzi huu ili mimi na wale wote wanao ifahamu vizuri hii fursa. Maana kila kukicha kuna sherehe kuanzia birthday mpaka harusi na mikutano.Nina maswali kadhaa; 1. Ukubwa(sq metres) za ukumbi unao beba watu 100. 2. Parking itakayo takiwa kuachwa kwa angalau ukumbi au garden...
  3. BARD AI

    Kenya2022 Wagombea Urais Kenya waanza kuwasili ukumbi wa kutangaza Matokeo

    MATOKEO KENYA: MSAFARA WA NAIBU RAIS RUTO NA MKEWE KUELEKEA BOMAS MUDA HUU Naibu Rais William Ruto na mkewe Rachael Ruto wameondoka nyumbani kwao Karen kuelekea eneo la Bomas ambapo Tume ya Uchaguzi, IEBC itatangazia Matokeo ya Urais. Taarifa ya Mwenyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati...
  4. L

    Maonesho ya taa yafanyika kwenye ukumbi wa kuteleza kwenye barafu kwa kasi wa kitaifa

    Katika kipindi cha Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi, maonesho ya taa yamefanyika kwenye ukumbi wa kuteleza kwenye barafu kwa kasi wa kitaifa.
  5. Stroke

    Wamejenga ukumbi wa kufanya sherehe tunapokaa. Weekend hatulali

    Amani imetoweka kabisa. Mita chache toka napokaa wamejenga ukumbi wa kufanya sherehe yaani ikifika ile jumamosi basi amani inatoweka ni kelele mtindo mmoja. Huyu mama wa serikali za mitaa nilikua namheshimu sana lakini kwakweli amenikera kuendekeza hili jambo. Hatulali makelele mtindo mmoja...
  6. Roving Journalist

    Upanga, Dar: Yaliyojiri kutoka Ukumbi wa JWTZ, Mkutano na Waandishi wa Habari

    Salaam Wakuu, Leo Jeshi la Wananchi Tanzania, linafanya Mkutano na Waandishi wa habari. Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) kutoa Tamko Maalumu 30 Novemba, 2021 Nipo Nimefika kwenye Ukumbi huu kuwajuza kila kitakachojiri. ===== UPDATES: 1022hrs ====== Waandishi wameshafika eneo la tukio 1034...
  7. judey

    Tunapamba Ukumbi na kutengeneza keki za aina zote

    Tunatengeza keki za aina zote na kupamba ukumbiii kwa maeneo ya Dar es Salaam Mawasiliano 0764240743 WhatsApp Karibu sana mteja kwetu wewe ni mfalmee
Back
Top Bottom