ukraine

  1. Mathanzua

    Zelensky talks about Ukraine CAPITULATION! Says there are too many wounded and dead. He therefore doesn't want war for years

    Zelensky talks about Ukraine CAPITULATION! Says there are too many wounded and dead; doesn't therefore want war for years JUNE 28, 2024 Volodymyr Zelensky, former President of Ukraine whose term of Office expired on May 21, went on TV yesterday and made clear Ukraine has too many wounded and...
  2. Ritz

    Korea Kaskazini imesema itatuma wanajeshi wake nchini Ukraine kuisaidia Urusi

    Wanaukumbi. 🇰🇵 🇷🇺 Korea Kaskazini kutuma wanajeshi Ukraine kupigana pamoja na Urusi. Mkataba wa ulinzi uliotiwa saini kati ya Urusi na Korea Kaskazini mnamo Juni 19, 2024, unajumuisha kifungu cha usaidizi wa kijeshi wa pande zote katika tukio la vita. Muda mfupi baada ya mkataba huo kutiwa...
  3. Sigonella Island

    Jibu la Putin baada ya Korea kusini kupeleka silaha Ukraine

    Korea kusini ilianza kuahidi kutoa silaha na ushirikiano na Ukraine Juzi Rais Putin kaenda Korea Kaskazoni nakuahidi ushirikiano wa Kijeshi baina yao yaani Nchi moja ikishambuliwa nyingine inaingilia. Korea kusini ambayo ndio ilianza imetoa mlio wa uchungu na wivu na kulaani maafikiano hayo ya...
  4. Webabu

    Alichosema Netanyahu ni sawa na anayosema Zelensky na ni kukiri kuwa Israel haiwezi tena kupigana na Hizbullah.

    Hapo jana Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel amemlalamikia raisi Biden wa Marekani kwamba amezuia shehena ya silaha tangu mwezi Mei na hiyo ndiyo sababu ya kudorora kuipiga Rafah ili kufikia malengo. Kwenye video fupi ya malalamiko hayo Netanyahu amejipa moyo kwamba katika ziara ya karibu...
  5. Webabu

    Wanaume Ukraine waacha kwenda masokoni,mikahawani,shughulini na sehemu za ibada kuogopa kukamatwa kupelekwa mstari wa mbele

    Kaka Serhiy na dada Tania walikatisha kufanya harusi yao ufukweni mwa bahari wakihofia hali mbaya ya hewa.Hata walipoingia kwenye ukumbi walikoalkwa wageni kushuhudia harusi yao bado waligundua hali isiyo rafiki kwa furaha yao.Viti zaidi ya nusu vilikuwa ni vitupu ikiwa na maana waliohudhuria ni...
  6. State Propaganda

    Putin ataja sababu ya Urusi kuivamia Ukraine Februari 2022

    "In the West, the prevailing narrative is that Russia initiated the war with its special military operation and is therefore the aggressor, so it is allowed to attack the Russian territory using Western weaponry. It is argued that Ukraine is merely defending itself, and is justified in doing...
  7. X

    Viongozi wa G7 wailaumu China kwenye mkutano wao unaofanyika Italy

    Leo ni siku ya tatu na ya mwisho ya mkutano wa mataifa yanayounda G7; ambao umewakilishwa na maraisi wa USA, U.K, France, Germany, Italy, Japan na Canada na mawaziri wa fedha kutoka nchi hizo. Ajenda kuu ilikuwa China. Maeneo ambayo yamejadiliwa kuhusu China: 1. CHINA INAHATARISHA VIWANDA NA...
  8. kp kipanya44

    Ukraine kukabidhiwa kifurushi kingine Cha Dola billions 50

    Naam wakuu, wakati kile kifurushi Cha Dola billions 61 kutoka marekani kwa ajili ya msaada wa kijeshi kwa Ukraine bado hakijafikisha hata miezi 2.,mataifa Saba yenye nguvu ya kiuchumi duniani yaani G7,yamepitisha kifurushi kingine kwa ajili ya Ukraine, ikumbukwe kwamba kifurushi hiki...
  9. Jackal

    Ukraine Washambulia Ndege Ya Kisasa Kabisa Na Ghali Ya Urusi Chapa Su-57

    https://www.aljazeera.com/news/2024/6/10/ukraine-says-it-struck-su-57-fighter-jet-on-ground-at-russian-air-base
  10. Nsanzagee

    Ukraine inao wa kuwasaidia, Russia vilevile, hawa wapalestine hawana faida Duniani? Mbona ni tofauti na yalivyo mataifa mengine yaliyo na vita?

    Wapalestine watakwisha hivihivi tunajionea Juzi kati walitaka kupata taifa la kuwasaidia, lakini mara tu ya kutaka kuanza mpango huo, nchi hiyo ikajikuta inapoteza Rais na waziri wa mambo ya nje kiutatautata tu na mambo yakaishia hapo Ukraine inao NATO, vilevile Russia ina China, SA, Korea...
  11. kavulata

    Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

    Mkopo tunaofurahia kuupata kutoka Korea kusini hautoki Korea bali Marekani kupitia Korea Kusini. Mkopo huu kwa wakati huu kwa nchi hizi ni maandalizi ya kutulazimisha tuwe upande wa Marekani (NATO) kama ikitokea vita kuu ya 3 (WWIII). Wametuchagulia upande kwenye vita baridi na moto kati ya...
  12. I

    Shambulizi la ndege zisizo na rubani za Ukraine zakwamisha shughuli kwenye kinu cha kusafisha mafuta nchini Urusi

    Shambulio la ndege zisizo na rubani za Ukraine lilianzisha moto katika kiwanda cha kusafisha mafuta kusini mwa Urusi, na kulazimisha kusitisha operesheni, mamlaka ya kikanda ilisema mapema Alhamisi, na kuongeza kuwa hakukuwa na majeruhi. Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema ndege 13 zisizo na...
  13. lee Vladimir cleef

    Ukraine kufanya gwaride la sherehe za mashoga June 2024.

    Sasa mambo ni njenje,hakuna Siri Tena. Mashoga wa Ukraine wapanga kufanya gwaride mwezi juni 2024 . Serikali ya kiev yabariki Tena jambo hilo kama ilivyobariki miaka ya nyuma. Amini usiamnini huenda kinachowapata Ukraine Sasa hivi ni adhabu toka kwa Mungu,si bure. Gwaride ni sawa na...
  14. Z

    Tenki za Abrams zilisifika sana zikiwa mjini, zilipoingia kwenye uwanja wa vita "Ukraine" ni cha mtoto tu

    Majigambo, kelele na fujo za kuzisifia Tank za Abrams katika Luninge, magazeti, radio na mitandao mbalimbali na kutuaminisha sisis wasomaji wa dunia nzima kuwa Ukraine inakwenda kushinda vita. Ndugu zangu, Marekani na wenzake west wanakelele sana mara leopard na ..........na.... Kuna wengi...
  15. MK254

    Ukraine wapiga radar ya nyuklia ya Urusi, hapa kama wameenda mbali sasa

    Ukraine kwenye hili mumeenda mbali hata mimi shabiki wenu kindaki ndaki nimeingiwa na wasiwasi. Kupiga radar inayotumika na Urusi kujilinda dhidi ya mashambulizi ya nyuklia mtakua mumevuka mpaka, hivi Urusi mbona imekua legelege kiasi hiki, hawa ndio walitegemeaa na waarabu siku zone...
  16. X

    Ujerumani na Italy zakataa mpango wa NATO wa msaada wa silaha kwa Ukraine kushambulia ndani ya mipaka ya Urusi

    Katibu mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amezitaka nchi za NATO kuipa silaha Ukraine ili ishambulie ndani ya mipaka ya Russia hasa military targets. Mpango huu umekuja baada ya Ukraine kutembezewa kichapo cha kutosha kutoka kwa Russia na majeshi ya Russia kuzidi kusonga mbele kuelekea mji muhimu wa...
  17. Suley2019

    Mataifa 50 kukutana Uswisi kujadili amani ya Ukraine na Urusi

    Uswisi inaratajia kuwaalika washiriki zaidi ya 160 kutoka mataifa mbalimbali katika mkutano utakaolenga kuleta amani na upatanishi wa Ukraine na Russia. Mkutano huo unatarajia kufanyika kwa siku mbili kuanzia Juni 15 hadi 16 katika Hoteli ya Bürgenstock Hotel nchini humo.Taarifa iliyotolewa na...
  18. Webabu

    Ukraine yahimiza kila nchi yenye Patriot iwasaidie kupambana na Urusi inayokaribia kuuteka mji wa Kharkiv

    Mji wa Kharkiv ni mji wa pili kwa ukubwa nchini Ukraine na ambao upo hatarini kutekwa na Urusi baada ya kuteka miji mingine ya kiuchumi ya nchi hiyo. Ukitekwa mji huo Ukraine itakuwa ni kama mnyama aliyekatwa viungo vyote na kubakishwa kichwa pekee. Katika hali ya kuchanganyikiwa nchi hiyo...
  19. LINGWAMBA

    Bunge la Ukraine laidhinisha mpango wa kusajiliwa wafungwa jeshini

    Bunge la Ukraine limepasisha muswada wa sheria inayoruhusu kukusanywa na kusajiliwa jeshini wafungwa wa nchi hiyo. Tovuti ya habari ya Russia Today imeripoti habari hiyo na kuongeza kuwa, rasimu ya mwisho ya muswada huo ilipigiwa kura kwa wingi bungeni jana Jumatano baada ya kufanyiwa...
  20. I

    NATO kupambana na Russia endapo Ukraine itashindwa vita - Austin

    Mkuu wa Pentagon Lloyd Austin anaamini kwamba ikiwa Ukraine itapoteza vita kamili na Urusi, nchi hiyo ya pili italazimika kupigana na Muungano mzima wa Atlantiki ya Kaskazini maarufu kama (NATO). Taarifa ya Austin katika kikao cha Kamati ya Huduma za Silaha ya Bunge la Marekani, kama...
Back
Top Bottom