ujana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Hakuna ujana tena, hakuna kusubiri

    HAKUNA UJANA TENA. HAKUNA KUSUBIRI TENA. Kwa mkono wa, Robert Heriel Yule Mtibeli Andiko hili, linamfaa kila mtu, ingawaje nimeyaandika haya ili yasomwe na wanangu, hao watakakuja baada yangu. Haya usiwe mvivu wa kujifunza usijeukshindwa wakati wa majaribu. Ulipokuwa mtoto ulisema kuwa ukiwa...
  2. J

    CCM ujana ni sifa ya ziada lakini CHADEMA ujana ni maisha yao. Sijajua UVCCM wanafeli wapi?

    Ni kawaida sana kumuona diwani, mbunge au Waziri wa CCM akitamba kwamba sasa kazi itafanyika kwa sababu yeye ni kijana. Na unaweza kukuta hata Kigwangalla au Shinza akijinasibu kwamba yeye ni kijana. Lakini Chadema vijana hawanaga hizo swaga wao utawatambua kwa matendo yao tu kuwa ni vijana na...
  3. Athman Profesa

    Nashindwa kumuoa mzazi mwenzangu, bado ninatamani wanawake wengine

    Mim nikijana nIna 26. Kuna dada nIlimpata chuo ananipenda sana kanizalia katoto kana mwaka 1.5 sasa. Mahusiano yetu yana miaka mi3. Na nimda sana ananipigia kelele kuhusu ndoa. Nami ninamthamini sana kwakuwa anamapenzi yakweli kwangu. Tatizo mimi ninatamaa sana ninawatamani sana wadada wengine...
  4. Makirita Amani

    Kuwa makini na unachotamani, ukikipata unaweza usikihimili

    Dorian Gray, kijana mtanashati na mwenye mwonekano mzuri anachorwa picha yake na mchoraji Basil Hallward. Mchoraji huyo ana rafiki yake anayeitwa Lord Henry Wotton, ambaye anavutiwa sana na Dorian pamoja na picha yake. Lord Henry anamweleza Dorian jinsi ujana ulivyo kitu kizuri na muhimu, ila...
Back
Top Bottom