ujana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Inside10

    Kardinali Pengo Enzi Za Ujana

    Hapa akiwa fratel
  2. ELI COHEN

    Hadi sasa katika harakati zako za ujana maji ya moto, ni kitendo kati ya hivi haujawahi kugusa kabisa?

    1: punyeto 2: clubbing/pub 3: unywaji wa pombe/liqour/whiskey/wine/visungura/gongo 4: mihadarati (bangi, heroin, meth, cocaine) 5: utumiaji wa makahaba 6: kuwa na sponsor/mshangazi 7: kuangalia pornography 8: betting 9: kuwa na mchepuko 10: group/party sex 11: threesome 12: kutoa...
  3. Fbn

    Waziri wa vijana wiki mbili tu ushakimbia ujana kwa spana.

    Yule jamaa ukisikiliza mada zake unaweza kujua katoboa kumzidi Bakharesa na matajiri wengine kwa zile kanuni zake. Si unajua siku hizi umaarufu ndio unapewa idara kwa serikali ya CCM. Sijui kapotelea wapi?.
  4. tonicimmobility

    Mkienda sehemu za starehe kulewa kuweni makini sana, oneni yaliyomkuta kijana mwenzenu huyu

    Mkienda sehemu za starehe kulewa kuweni makini sana, oneni yaliyomkuta kijana mwenzenu huyu Soma pia: Mkienda sehemu za starehe kulewa kuweni makini sana, oneni yaliyomkuta kijana mwenzenu huyu
  5. McLaren

    GE2025 Musiba: Kama kuna mtu yeyote nilimkosea, naomba anisamehe. Ule ulikuwa ni ujana

    Wakuu, Inaonekana kama Musiba baada ya kukatwa na CCM akili zimeanza kumrudi. Leo akiwa anaongea na waandishi wa habari ameomba radhi watu wote ambao aliwakosea kipindi hicho na akaongeza kuwa kipindi kile alikuwa kijana tu. Nadhani msamaha huu unawahusu sana wakina Fatma Karume na wengineo...
  6. ELI COHEN

    Mnamkumbuka nancy mitikisiko na blog yake, ila ujana🤣, ni maji ya moto aisee!

    Mabaharia na waliosoma tel aviv ndio watajua namaanisha nini😁 Yule mumamaa sijui aliishiaga wapi aisee maana bongo hasikiki tena
  7. stakehigh

    Kama bado upo kwenye ujana, jitahidi sana kufanya mazoezi

    kwa wale ambao bado mko chini ya 40, fanya vyote ila mazoezi usisahau! naongea ivi kwa huzuni baada ya kushuhudia watu wana magonjwa ambayo hospitali wanasema hauna dawa, pia issue ya kisukari ni kubwa sana usisubiri mpaka magazeti yaanze kuandika
  8. A

    Ujana ni maji ya moto

    Hello wana JF,, Je ushawai sikia watu wakisema "Ujana ni maji ya moto"? Huu uzi ni kwaajili ya kutoa mawazo yako juu na mada husika, je wewe unaelewa vipi katika ilo! Je ujana huo kuwa wa moto unaleta mitazamo chanya au hasi katika jamii inauokuzunguka? See you at the top; karibuni wataalamu.😙🙃
  9. Alloyce PR

    Ndoto za Ujana, Siasa za Ugaibuni

    "Wanasiasa wengi wa upinzani Afrika ni kama watoto wa Kitanzania waliokuwa na ndoto za kuwa madaktari, marubani, wahadisi n.k., hadi walipopewa hesabu ya kidato cha pili, wakaamua bora wauze chipsi."— Alloyce, P.R. 😄
  10. R

    Tafakari: Taifa linaloendeshwa kwa ujana wa bandiko na umbea—tumwangalie mtoto wa 2050

    Katika enzi hii ya kidigitali, tunashuhudia namna baadhi ya mataifa yanavyoweza kuendeshwa kwa mbinu nyepesi lakini hatarishi kwa mustakabali wake. Kinachohitajika ni kuhakikisha raia wana bando—ndiyo, intaneti—hata kama ni ya gharama kubwa. Wananchi wakishakuwa hewani, basi hupewa ‘connection’...
  11. Marry Diana

    Twendeni kanisani

    Leo ni siku nzuri sana ❤️ Jumapili njema yenye kupendeza,nawakumbusha Baba, mama,kaka,dada zangu. Lakini na wadogo zangu pia. Twendeni kanisani (wakristo) Ni utaratibu mzuri,unaotukumbusha kufanya Yale yanayompendeza Mungu, Starehe zote ni ubatili hakuna jipya,niwashukuru wazazi wangu Kwa...
  12. Leonce jr

    Mkasa wa kweli kabisa maisha ya ujana wa mapenzi

    Mkasa ni wa kweli kabisa Mnamo mwaka 2024 mwezi 7 niliapata kujuana na bint tumuite rose alikua muuza duka la nguo mimi nikiwa msimamizi wa eneo hilo lote. Huyu bint rose ni bint wa kinyakyusa huko kwao TUKUYU, mfupi mweusi ana kwa mwanya fulani amaizing ni mcheshi sana Basi siku moja...
  13. D

    Ewe mzazi, kabla ya kumpa mtoto jina, fikiria kitaa, ujana wake na shuleni ataishije nalo. Mtoto wa kiume anaitwa "Cesi"....

    Ewe mzazi ukiwa unatafuta jina la kumpa mtoto wako punde baada ya kujifungua, kifiria kwanza hilo jina akifika muda wa balehe (ujana) ataweza kuishi nalo mbele ya vijana wenzake?? Watoto wengi sana wanafanyiwa bullying kupitia majina yao na wanaishia kuyakataa au kutenda uhalifu. Juzi hapa...
  14. Moto wa volcano

    Ujana wako utumie kwa adabu zote

    Ushauri wa bure, ujana wako utumie kwa adabu zote usiwe na muda wa kupoteza kwa mambo yasiyokuwa na faida , Tengeneza familia yako weka kipaumbele maendeleo yako ya kiuchumi , starehe na makundi ya kiurafiki yasiyo na faida yanaweza yakawa kikwazo cha maendeleo yako. Dunia haimthamini maskini.
  15. L

    Mbowe ametumia ujana wake wote kuitesekea CHADEMA kwa jasho na machozi

    Ndugu zangu Watanzania, Huyu Mwamba apewe Maua yake tu,apewe heshima yake tu.Atambulike na watu wote angali hai kuwa ndiye Mwamba aliyetumia ujana wake wote Kuitesekea na kuijenga CHADEMA kwa jasho na Machozi.Ametumia Muda wake wote kwa ajili ya chama. Inasikitisha sana unapoona Mwana CHADEMA...
  16. Samia atosha tukutane2030

    Kama mume tahadhali usiache kumchunguza mke wako hasa kipindi cha ujana. Utanishukuru.

    Kuna misemo mingi katika jamii ikihamasisha wanandoa waishi tu kwa kuaminiana, watu wasichunguzane ili ndoa zao zidumu muda mwingi. Kama kuna kirusi kimeingia katika ndoa kupitia mke wako ukichelewa kukijua na kukiondoa mapema umekwisha. Wanawake nawajua vyema, ni waelewa na wanakanyika lakini...
  17. OMOYOGWANE

    Wazee wa mwaka 2070 hali itakavyokuwa pindi watakapo kuwa wanasimulia wajukuu zao enzi za ujana wao

    😆 Just imagine sasa hivi umri ulionao mwaka 2070 utakuwa na miaka mingapi? Kizazi cha 1990 mpaka 1999 ndio watakuwa wazee wa busara 😀 HALI ITAKAVYOKUWA Enzi zetu kulikuwa na msanii anaitwa Meja kunta na Man fongo wakali wa singeli nyinyi watoto wadogo hamjui kitu Enzi zetu Raisi wa Yanga...
  18. Last_Joker

    Usikute Yeye Ni Ndumilakuwili: Mapenzi ya Kijanja au Kuingizwa Chaka?

    Mwanaume au mwanamke wako anapokufanyia vituko vya kushangaza, kama ku-mute simu akilala au kubadilisha password mara kwa mara, unajua kuna mambo. Hivi unadhani ni sawa kuingia kwenye mahusiano ya kutomwamini mtu? Au kuna uwezekano kwamba huyu mtu wako ni mdumilakuwili? Karibu hapa tujadili...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Ukíwa unajitafuta ndio wakati sahihi wa kutafuta mke. Namaanisha mke wa ujana wako (miaka 21 - 30)

    UKÍWA UNAJITAFUTA NDIO WAKATI SAHIHI WA KUTAFUTA MKE. NAMAANISHA MKE WA UJANA WAKO (MIAKA 21 - 30) Anaandika, Robért Heriel Mtibeli Kijana wangu ukiwa kama Mtibeli na kama walivyo Watibeli waliotangulia na wataokuja. Tafuta mke ukiwa únajitafuta. Tafuta mwenza wako wa maisha úkiwa katika...
  20. Mr mutuu

    Ujana maji ya moto

    Wakuu muda sio muda natarajia Kula hiki kipande (Mombo to Segerea) naelekea Tanga, katika memory zangu sitakaa nikisahau hiki kipande kabisa, kila nikipita hapa huwa nacheka, it happened kama miaka 12 iliyopita nikipita kipande hiki na pikipiki usiku mnene, nafata nini? Ndo kichekesho sasa...
Back
Top Bottom