ufufuo na uzima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Gwajima wa Ufufuo na Uzima aja kivingine. Mkwara wa "kufa mtu"

    Kila mmoja atumie njia anayoweza kuikomboa TANGANYIKA. Gwajima msikilize, namuunga mkono , ndiyo njia aliyochagua! Wewe na mimi Je?
  2. R

    Wale waliotoweka na kapu la sadaka pale Ufufuo na uzima, ndio hao wanaochunguza fuko la pesa za mchina?

    Salaam! Walipofunga utepe kanisa la Ufufuo na uzima,palikuwa na sadaka kwenye kapu, palikuwa na mali mbalimbali,walipovamia na kutawanya watu Kisha kuweka utepe, kulikuwa shwari kabisa. Kinachochanganya Hadi sasa,haijulikani kapu la sadaka walipeleka wapi Hadi Leo, Pana upotevu mkubwa wa mali...
  3. DuaZaMama

    Mchungaji Patrick Kigava: Suala la ufungwaji wa kanisa la Ufufuo na uzima halikutenda haki

    Mchungaji wa kanisa la Redeemed Assemblies of God Tanzania RAGT Patrick Seif Kigava, amekosoa hatua za kufungwa hadi kufunguliwa kwa kanisa la Ufufuo na Uzima chini ya Askofu wake mkuu Mchungaji Dr. Josephat Gwajima akisema kufungwa kwa kanisa hilo hakukuwa kwa haki.
  4. M

    Askofu Gwajima anasema tukutane kesho Desemba 7 kwenye siku ya Baba na Wanae, kanisani Kibo

    Askofu Gwajima kushiriki ibada kesho Desemba 7, 2025 kanisa la ufufuo na uzima lililopo eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam. Itakuwa ni ibada ya pili kufanyika tangu kanisa hilo kufunguliwa ambapo Novemba 24, 2025, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, alitoa...
  5. Carlos The Jackal

    PostGE2025 Waumini Ufufuo na Uzima, tunamalizia Mfungo wa kujikabidhi Miguuni Kwa YESU , Tunaamini Ukifa unapigania Haki Uzima wa milele unaurithi. Tuonane D9

    Je Risasi gani itazuia Uhai na Uzima wa milele baada ya YESU KRISTO kurudi na kutufufua ??. YESU ni HAKI ,YESU ni Kweli ,YESU asema , aipendaye Nafasi yake ataipoteza , na Yeyote atakayetoa Nafasi yake Kwa ajili ya YESU AMBAYE NI HAKI NA AMBAYE NI KWELI ,ataurithi Uzima wa Milele. Tumekuja na...
  6. Just Pray

    PostGE2025 Kanisa la Ufufuo na Uzima ladai kuporwa mali zenye thamani ya Tsh. Bilioni 2 wakati limefungwa kuendesha huduma

    Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima limedai kupoteza mali zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 2.007 baada ya kufunguliwa tena kwa kanisa hilo kuanzia Novemba 24, ikiwa ni miezi sita tangu lilipofungwa na Jeshi la Polisi Juni 2, mwaka huu. Kwa mujibu wa viongozi...
  7. Msanii

    Naibu Katibu Mkuu kanisa la Ufufuo na Uzima (Askofu Mwanamapinduzi) akimbia nchi kunusuru maisha yake

    Hii taarifa rasmi imetolewa na Askofu Emaus Mwamakula. Nimewawekea hapa chini tamko lake soon hapa (kwa njia ya video). Ameelezea kwa kina kilichomsibu na hata kutishiwa maisha. Askofu Gwajima yupo hatarini
  8. M

    GE2025 Askofu Gwajima: Wakatoliki wote Tanzania, waumini wa Ufufuo na Uzima hawatapiga kura mwaka huu?

    Kwa mjibu wa maelezo ya Askofu mkuu wa Kanisa la ufufuo na uzima Tanzania.Itakuwa maajabu kama wafuatao wataenda kupiga kura 1. WAKATOLIKI:Kufuatia kupigwa kwenye makazi yake Padre Dkt. Charles Kitima ambaye pia ni Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) na shambulio hilo kuhusishwa...
  9. Waufukweni

    Kesi iliyofunguliwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima inaendelea kuunguruma Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma leo Agosti 12, 2025

    Kesi iliyofunguliwa na kanisa la ufufuo na uzima inatarajiwa kuendelea siku ya leo Agosti 12 katika Mahakama Kuu kanda ya Dodoma ambapo Naibu Katibu Mkuu wa Kanisa hilo Askofu Machumu Maximillian Kadutu (Mwanamapinduzi) ameongoza jopo la Maaskofu pamoja na Wachungaji kuelekea katika kesi hiyo...
  10. F

    Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima karibuni sana Kanisa Katoliki kusali tunawapenda sana hapa ndio nyumbani kwenu hasa, msiogope sanamu mnazoziona

    Sanamu zilizopo makanisani kwetu ni picha tu, ni kama zile zilizopo maofisini za Nyerere, Samia, n.k. kwani mnaziabudu? Hapana ni vielelezo tu na sisi hatuwezi kuwa wajinga kiasi hicho cha kuabudu sanamu! Tunajua kuwa Mungu ni Roho na anabudiwa katika Roho na Kweli. Sisi Wakatoliki kama Kanisa...
  11. Carlos The Jackal

    Rais Samia na Jeshi la Polisi, hawataki Waumini wa Ufufuo na Uzima wamwabudu Mungu, Hata Leo ,Walituma Askari Polisi kwenda Kuzuia Ibada ya Waumini

    Video hii hapa Wakuu !. https://youtu.be/zwQUrn544As?si=5x4Ui0D4tQBilTOt
  12. Abdul Said Naumanga

    Tamko la TLS kuhusu kinachoendelea kwa waumini wa kanisa la Ufufuo na Uzima pamoja na haki ya kuabudu

    Siku chache zilizopita niliandika uzi unaoitwa: “Watu wanasali, mabomu yanalia. Je, kuna uhuru wa kuabudu?”Ulikuwa ni mwitikio wa kile tulichoshuhudia tarehe 22 na 29 June 2025: waumini wa dhehebu flani wakitawanywa kwa mabomu wakati wakiwa kwenye ibada. Sikuandika kwa lengo la kutetea mtu...
  13. Carlos The Jackal

    Kwa Ufupi, Rais Samia hataki kabisa Waumini wa Ufufuo na Uzima Waabudu , Leo wameamua kusalia Dhehebu jingine, Nako Polisi imewafata hukohuko!

    Unaweza dhani ni mazingaombwe,, na pengine ukajiuliza, Hawa Polisi Wana akili kweli? Mwisho jibu linabaki kua ni kweli Hawana akili. Ndugu msomaji, Kufuatia Msajili , Kufungia Kanisa Kihuni huku Wizara ikisema haijafungia Kanisa. WAUMINI wa UFUFUO na Uzima, kufuatia Mabomu ya Wiki ilopita...
  14. Carlos The Jackal

    Ndani ya CHADEMA tupo Waumini wa Ufufuo na Uzima, Naomba Chama kitie nguvu kwenye Ibada zetu Kila Jumapili, kama ni mabomu tupigwe pamoja!!

    Niwaalike wanachadema wote Kwa ujumla,na watanzania wote na Wakristo, Kila Jumapili tuwepo , tuungane, tutie nguvu , Tupige kelele, tupaze sauti, Wacha wao watulige mabaomu, watuue, sisi tukusanyike, tufanye Ibada za Amani, tudai haki yetu ya kuabudu, TUIAMBIE DUNIA kua Tanzania Kwa Sasa Kuna...
  15. THE BIG SHOW

    Gwajima kuwaacha wanakondoo wako wakipigwa na Polisi na huku unajua fika kanisa lako limefutwa ni usaliti kwao

    Friends and Our Enemies, Gwajima alishazoea kuichezea serikali zama na zama ndani ya nchi hii. Tabia yake ya kugeuza madhabahu yake kama vijiwe vya siasa na kubishana na mamlaka iliota sugu na kumfanya ajione kuwa yeye ni UNTOUCHABLE. Hapa karibuni kanisa hilo limefutwa kwa kukiuka taratibu za...
  16. Ngongo

    Kanisa la Ufufuo na Uzima limefungwa Waumini hakuna kusali,Lissu gerezani hakuna kuabudu ?

    Heshima sana wanajamvi. Najiuliza kanisa la Ufufuo na Uzima limefungwa waumini wake hawana fursa ya kuabudu. Kanisa la Askofu Mwanamapinduzi limefungwa hakuna kuabudu. Lissu gerezani hakuna kuabudu ! Je hii imekaaje ?. Ngongo kwasasa Ukonga.
  17. Waufukweni

    Mzozo mkali umeibuka baina ya Waumini wa Kanisa la Askofu Gwajima na Polisi, wahoji Uhuru wa Kuabudu uko wapi?

    Mzozo Mkali umeibuka baina ya Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (Glory Of Christ Tanzania Church) na jeshi la polisi. Mzozo huo ni baada ya jeshi la polisi kuwataka waondoke eneo walilokuwa wakiabudia na kutawanyika jambo ambalo waumini hao wamelikataa.
  18. Waufukweni

    Polisi wavunja Ibada ya Kanisa la Ufufuo na Uzima, wawataka Waumini kutawanyika

    Jeshi la Polisi Dar es Salaam limechukua hatua ya kuwataka waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kutawanyika mara moja na kwa amani, baada ya kanisa hilo kuendesha ibada njee ya eneo la kanisa licha ya agizo rasmi la kusitishwa kwa shughuli zake. Tukio hilo limetokea siku chache tu baada ya...
  19. Parabolic

    Tanzania hatarini kuwekewa marufuku ya kusafiri kwenda Marekani

    Upanuzi wa Marufuku ya Kusafiri kwa Misri, Tanzania, Zimbabwe, Dominika, Saint Lucia, Bhutan na nchi nyingine 30. Jumapili, Juni 15, 2025 Marekani imependekeza upanuzi mkubwa wa sera yake ya marufuku ya kusafiri, ikilenga Misri, Tanzania, Zimbabwe, Dominika, Saint Lucia, Bhutan, na nchi...
  20. Heparin

    Askari Polisi waweka ulinzi mkali Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Ubungo, Dar es Salaam

    Nimepita maeneo ya Ubungo nikiwa naelekea kwenye harakati zangu, naona Polisi wamejaa kanisani kwa Gwajima baada ya yeye kutangaza atashiriki ibada ya Jumapili ya leo. Wengi wapo barabarani wanafunga utepe. Kwakuwa speed ya gari ilikuwa kubwa sijafanikiwa kuchukua picha ya haraka. Pia...
Back
Top Bottom