Nchi zinazoongoza ku export madini haya na pato lake Russia 3.02 bilions US dola kwa mwaka
Canada 2.77
United States of America2.22
Germany1.47
Norway1.25
UK 1.1
Finland1.02
Zimbabwe0.99
Japan0.92
Indonesia0.81
Netherlands0.71
France0.69
China0.55
Papua New Guinea0.46
Philippines0.41
Belgium0.4...
Habari wandugu,
Wenzetu wazungu wanujuzi sana wa madini, wanafundishwa shuleni. Mzungu nu rahisi kutambua Ruby, dhahabu au almasi akiiona.
Lakini mbongo hata anafika form six hawezi tambua madini aina yoyote. Kama elimu inamuwezesha mtu kupambana na mazingira yake, na mazingira yetu yamejaa...
Uchimbaji wa dhahabu kuanzia kwa mchimbaji mdogo mpaka mkubwa. Watu wanaingia woga sana kwenye hii biashara ambayo inataka umakini na adabu sana kwenye fedha.
Tuanze na uchimbaji wenyewe Kwanza anza kidogo kidogo kwa kuwa makini na ujitoe rasmi kuingia kazini sio uwe unawatuma watu hii kazi...
Watanzania na walimwengu wamemsikiliza vema Rais Mama Samia hii leo. Amezungumza mengi yenye tija kwa nchi na wananchi wa Tanzania. Mwanzo wake ni mzuri. Hatuna budi kumuunga mkono.
Pamoja na utamu wote wa hotuba, naomba kwa taadhima kubwa nimpe hadhari kwenye msimamo wake wa kuchimba madini...
Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji kufungiwa water pump ipo ya solar milioni 1.6 ya umeme laki 5 zote zikiwa complete pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.