uchaguzi serikali za mitaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PreGE2025 Je, umeziona na kuzisoma Kanuni mpya za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

    Nimejiuuliza zilipo kanuni za kusimamia uchaguzi wa serikali za mtaa. Nimezisaka mitandaoni na kwenye gazeti la serikali zijaziona. Lakini Mzee Lipumba na Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi wanasema kanuni zipo tayari. Mwana CCM mwenzangu umeziona kanuni hizi mpya za uchaguzi? Nani amezitunga? Je...
  2. Nehemia Kilave

    PreGE2025 LGE2024 kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025: Hizi ni Katiba mbali mbali za vyama

    Kazi kwenu wananchi na watia nia
  3. Nyendo

    PreGE2025 Upi ushauri au maoni yako kwa anayekusudia kugombea nafasi yoyote nchini?

    Unamshauri nini au una maoni gani juu ya mtu yoyote anayekusudia kugombea nafasi yoyote ya uongozi nchini kufuatia uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa na Serikali kuu? Unamshauri nini azingatie na nini asijekirudia ambacho ulikiona kwa wagombea wengine kwenye chaguzi za nyuma? Mwaka huu wa 2024...
  4. J

    PreGE2025 LGE2024 Chadema yaahidi Ushindi wa kishindo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Dar es Salaam

    Uongozi mpya wa Chadema DSM umeahidi Ushindi wa kishindo katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa Ahadi hiyo imetolewa na viongozi wa Ilala, Kinondoni na Ubungo kwamba hakuna Mtaa utabaki CCM Baada ya Uchaguzi Source: Mwananchi ============== Dar es Salaam. Wenyeviti wapya wa mikoa ya kichama wa...
  5. Stephano Mgendanyi

    PreGE2025 LGE2024 Waziri Mhagama: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hatuna mashaka kwa sababu Viongozi wa mashina wameshaamua Peramiho ni ya CCM

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jensita Mhagama (Mb) Peramiho, amewapongeza Wenyeviti wa Mashina na Kata kwa kazi nzuri wanayofanya ya kulinda na kukipigania Chama Cha Mapinduzi. Pongezi hizo amezitoa wakati alipokutana na kufanya vikao na Wenyeviti wa Mashina...
  6. Roving Journalist

    PreGE2025 LGE2024 Rais Samia: Uchaguzi utakuwa huru na wa haki

    https://www.youtube.com/watch?v=st-YFWzMvWQ RAIS SAMIA: UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA WA HAKI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema haki, demokrasia, sheria na utawala bora utadumishwa kwa watu wote wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika...
  7. Kisesetusese

    PreGE2025 Hali ya kiasiasa joto na mvuke katika mchakato wa uchaguzi 2024-2025

    Nielekee kwenye mada. Naona mambo yanaendelea na joto linaendelea kukolea. Katika chama cha Mapinduzi kile kiitwavyo uhuru wa kugombea utaleta doa kwa wale wasiokubaliana na Mama. Wanauhuru kugombea na Mama lakini haiwezekani kujitokeza hadharani. Hawa watafukia vichwa vyao ardhini hadi 2030...
  8. Stephano Mgendanyi

    PreGE2025 LGE2024 Mbunge Cherehani atoa Madawati 975, awasihi wanawake kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    MBUNGE CHEREHANI ATOA MADAWATI 975 YA MIL 63.3: MAADHIMISHO MIAKA 47 YA CCM Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe Emmanuel Cherehani kupitia Ofisi ya mbunge ametoa madawati 975 yenye thamani ya Shilingi 63,375,000 ili kuimarisha sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na...
Back
Top Bottom