Shaha Nurdin Mussa, mkazi wa Kitongoji cha Mkuti B, Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, ameeleza kwa msisitizo kuwa wananchi wa Masasi wameshikilia msimamo thabiti wa kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Kwa mujibu wa Shaha, hata ndani ya chama cha CHADEMA, kuna wanachama ambao...