Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Songwe, Fatuma Hussein, ameendelea na kampeni za Jimbo kwa Jimbo mkoani humo, ambapo akiwa katika Jimbo la Mbozi amewataka wananchi kuendelea kuiamini CCM kwa kuwa imeleta wagombea wenye hofu ya Mungu, wachapa kazi na wapenda...