Maelfu ya watanzania kutoka Mbezi jijini wanaelekea Ikulu muda huu.
Madai ya waandamnaji, Matokeo ya uchaguzi yafutwe, KATIBA MPYA, Waliotekwa waachiliwe huru, Tume huru ya uchaguzi na utawala wa Haki.
Video hii ni ya asubuhi ya leo: 👇🏽
Leo, wanajeshi wameonekana kuendelea kulinda wananchi...