Zaidi ya miaka miwili iliyopita, mnamo Machi 2023, Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, alitembelea Tanzania. Akiwa huko, alipokelewa kwa ukarimu na Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye alikuwa amepanda madarakani kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa kiimla, John Magufuli. Rais Samia alielezea...