tundu lissu

  1. Tundu Lissu: Jeshi la magereza linaongozwa na amri kutoka juu na sio sheria huko juu ni wapi juu mbinguni au ?

    Tundu Lissu: Jeshi la magereza linaongozwa na amri kutoka juu na sio sheria huko juu ni wapi juu mbinguni au ?
  2. Tundu Lissu: Jeshi halina mamlaka yoyote ya kuzuiwa watu kukutana na ndugu, marafiki gerezani ni kinyume cha sheria

    Tundu Lissu: Jeshi halina mamlaka yoyote ya kuzuia watu kukutana na ndugu, marafiki gerezani ni kinyume cha sheria.
  3. Tundu Lissu: kesi ina siku zaidi ya 307 lakini imesikilizwa tu siku 14 kati ya siku hizo zote kuna kitu hakiko sawa

    Tundu Lissu: kesi ina siku zaidi ya 307 lakini imesikilizwa tu siku 14 kati ya siku hizo zote kuna kitu hakiko sawa.
  4. M

    Rais Samia: Tanzania ina midomo mingi, kila unalofanya linatafsiriwa

    Rais Samia akiwaapisha viongozi mbambali aliowateua, amesema Tanzania kila unalofanya linatafsiriwa, akirejelea Uteuzi wa Waziri Rajabu Salum ambapo amedai kuwa watu walisema katolewa. Rais Samia amesema Salumu kakua hivyo amempa nafasi ya kisekta.
  5. PostGE2025 Baada ya takribani miezi mitatu, kesi ya Tundu Lissu kuendelea leo Februari 9, 2026

    Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' Tundu Antiphas Lissu inatarajiwa kuendelea leo Febriari 9, 2026 Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es salaam. Kupitia taarifa Rasmi iliyotolewa na CHADEMA jumapili jioni Februari 08, 2026...
  6. Kesi ya Uhaini ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kuendelea leo Februari 9, 2026

    Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' Tundu Antiphas Lissu inatarajiwa kuendelea leo Febriari 9, 2026 Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es salaam. Kupitia taarifa Rasmi iliyotolewa na CHADEMA jumapili jioni Februari 08, 2026...
  7. Prof. Tibaijuka: Huwezi kulileta Taifa pamoja na Kiongozi wa Upinzani yuko Gerezani

    Mwanasiasa mkongwe Prof. Anna Tibaijuka, akizungumza na Salim Kikeke kwenye Kikao Na Kikeke, anaeleza kuwa ni ngumu kulileta pamoja taifa wakati kiongozi wa upinzani akiwa gerezani.
  8. Polisi Wamkamata Mwanachama wa CHADEMA kwa kosa la kuiba michango ya Tundu Lissu

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Fredrick Mbwambo, mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa tuhuma za wizi wa fedha za michango zilizokuwa zikikusanywa kwa ajili ya Mwenyekiti wa chama hicho aliyeko gerezani kwa tuhuma za uhaini, Tundu Lissu. Kwa mujibu wa...
  9. Mjumbe maalum wa Tundu Lissu katika msiba wa mzee Mtei

    Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe, wanafamilia wa marehemu Edwin Mtei, viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ndugu wananchi, waombolezaji, mabibi na mabwana; Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwenyekiti Mwanzilishi na Mwasisi wa Chama...
  10. Butiku na Wazee wenzake wa Ovyo, hawajataja Hatua kwa Walioua, wanaoteka Watanzania , hawasemi walotekwa waachiwe, Akina Lissu

    Mzee Butiku na Genge lako la Wazee wahuni huni ,Wazee wa Hovyo, tuliwakataa kitambo sana.
  11. Happy birthday Tundu Antipass Lissu. Mwanasiasa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya Tanganyika na Tanzania

    Leo tarehe 20 January ni kumbukizi ya kuzaliwa Mwanasiasa Bora kabisa kuwahi kutokea Tanganyika na Tanzania Bwana Tundu Antipass Lissu. Siku kama ya leo ndo Mungu aliipa zawadi Tanzania kutupatia mtu ambaye yupo radhi kuumia na hata kufa ili awasaidie wengine wasio na uwezo wa kusema na...
  12. PostGE2025 After days in Prison, Tundu Lissu’s Treason case is set to resume in Dar es Salaam on February 9

    The treason trial against Tanzanian opposition leader Tundu Lissu (Case No. 19605/2025) is set to resume at the High Court, Dar es Salaam Circuit, from February 9, 2026, to March 6, 2026. This schedule was confirmed by CHADEMA’s National Legal Director, Gaston Galubindi (also referred to as...
  13. S

    Hongera sana Tundu Lissu kwa kusimama imara ndani ya kuta za gereza kama Mandela, waliokuweka ndani watalipwa kupitia ICC

    Habari ndio hio kwa kifupi. Wakati wao ukifika, watatia huruma sana. Akichomoka kipindi hiki yuko madarakani, anaweza kuja kukabidhiwa ICC na mrithi wake kwa mshangao wa wengi kutokana na mashinikizo ya kimataifa au sababu nyinginezo. Muda utathibitisha.
  14. Jiandaeni kumpokea Tundu Lissu muda wowote kuanzia sasa

    Jiandaeni kumpokea Tundu Lissu muda wowote kuanzia sasa
  15. Pray for Tundu Lissu

    Habari! Toka jumamosi iliyopita nikiwa safarini toka Nyumbani Tanzania Kwenda Ughaibuni niliko jishikiza kimaisha as Diaspora najisikia Ndani yangu kumuombea TUNDU A. LISSU. Mimi sio mwanasiasa na Sina itikadi ya chama chochote Kile ila ninachojua Tundu Lissu ni Mmoja wa watu ambao Mungu...
  16. B

    Kesi ya uhaini ya Tundu Lissu; Mkurugenzi wa sheria, katiba na haki za binadamu CHADEMA anatoa ufafanuzi wa kilichotokea

    10 January 2026 MAZITO YAFAFANULIWA https://m.youtube.com/watch?v=sVw34Jl61eg Advocate Gaston Shundo Garubindi anajibu masuala mbalimbali ktk interview exclusive na Jambo TV yanayogusia ikiwemo kwa uchache ktk mengi Criminal case / kesi Jinai huwa hazitakiwi kusimama session zake hata kama...
  17. Tundu Lissu hawezi kuhongeka kwa cheo feki cha "Makamu wa Rais"

    Kuna chaka ambalo linataka kutumika katika maridhiano la kumuahidi Umakamu wa Rais au Uwaziri Mkuu Tundu Lissu kama sehemu ya kumpoza na kurudisha imani ya Jumuiya ya Kimataifa ambayo kwa kika siku inayokwenda wanazidi kukaza kamba. Hili chaka ka kuzawadia watu Umakamu wa Rais au Uwaziri Mkuu...
  18. R

    Mwabukusi: Tundu Lissu amekamatwa kinyume cha sheria, ameonewa

    " Tundu Lissu hajakamatwa kisheria, amekamatwa kinyume cha sheria, ameshatgakiwa kinyume cha sheria na mashataka yake yapo kinyume cha sheria. Lazima tujifunze kukataa tutazoesha watu wanakukamata tu hapa wanasema umepindua nchi na kukamata nakupeleka kule alafu nasema msijadili suala lipo...
  19. U

    Inadaiwa mabilioni yatengwa kulipa mamluki ili kushiriki maridhiano. Wapo viongozi wa dini. CHADEMA ndicho kikwazo. Waghushi ridhaa ya Lissu

    https://youtu.be/81fVXxv5G_U?si=u5UbC4NXl9Prtyqt ======================= CHADEMA mpo? Act now to prevent this greedy act before it's too late Si mnakumbuka ya wale wabunge wa CIVID19 mara baada ya uchaguzi mkuu 2020? Waliapa au hawakuuapa kuwa wabunge? Historia ya matendo maovu au mazuri...
  20. K

    Ni muhimu waTanzania watambue na kukumbushwa kwanini Tundu Lissu yupo Gerezani hadi sasa

    Tundu Lissu anaendelea kushikiliwa gerezani si kwa sababu watawala waliomweka huko wanataka aendelee kuwa gerezani. Kubaki gerezani kwa Tundu Lissu sasa hivi kunawatesa sana watawala, laiti kama wangekuwa na njia ya kumwondoa huko bila ya kuonekana kuwa wameshindwa kumdhibiti wangefanya hivyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…