Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe, wanafamilia wa marehemu Edwin Mtei, viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ndugu wananchi, waombolezaji, mabibi na mabwana;
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwenyekiti Mwanzilishi na Mwasisi wa Chama...