tundu lissu

  1. Waufukweni

    PICHA: Tundu Lissu akiwa ameweka mkono wake juu ya Kichwa cha mtoto wa Shule. Imevutia Wengi!

    Picha ya Tundu Lissu akiwa ameuweka mkono juu ya kichwa na mmoja kumshika mkono mtoto wa shule iliyowavutia wengi.
  2. Mwande na Mndewa

    Tundu Lissu ni Magufuli aliyechangamka

    Shujaa Hayati Rais John Magufuli 2020 akiwa Ikungi jimboni kwa Tundu Lissu alikiri mbele ya Wazee wa Singida kwamba alitamani sana kufanya kazi na kijana wao Tundu Lissu lakini alikataa,kiuhalisia tofauti kubwa kati ya Hayati Rais John Magufuli na Tundu lissu ni majina na vyama lakini wote...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Tundu Lissu: Daftari la Wapiga Kura liandikishwe upya, majina mengi ni 'Marehemu'

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Antiphas Lissu amedai kuwa daftari la wapiga kura lina majina mengi yasiyo halali hivyo kutaka daftari hilo liandikishwe upya.
  4. Erythrocyte

    PreGE2025 No Reform No Election yaingia Jimbo la Mtama, Wananchi wamtaka Nape atafute kazi ya Kufanya, nafasi yake ya Ubunge haipo tena

    Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Jimbo la Mtama, Ambako Ile No Reform No Election inafundishwa muda huu. Baada ya Mkutano kuanza wananchi waliomba Nafasi ya Kumfuta Ubunge Nape Nnauye kwa Tuhuma za kushiriki wizi wa kura karibu kila mwaka wa Uchaguzi tangu alipoasisi bao la mkono, Uamuzi wa...
  5. R

    Ushauri: Tundu Lissu kataa kupokea utukufu wa aliye juu, wewe ni mtu tu, Baki na unyenyekevu, utabarikiwa

    Salaam! Nichukue fursa hii kukupa ushauri ewe Tundu lissu, u mtu upendwaye sana na watu na Mungu, Lengo la mada hii ni kukustua uache kupokea utukufu wa aliye juu ya yote, Yesu Kristo. Nimeona wanawake wakivua kanga zao na vitenge wakivitandika chini, na wengine wamelala chini Ili upite juu...
  6. figganigga

    PreGE2025 Tundu Lissu atengua uteuzi wa CPA Catherine Ruge

    Tundu Lissu, Mwenyekiti wa chama Taifa CHADEMA leo 5.4.2025 ametengua uteuzi wa mjumbe wa sekretarieti na mtalamu wa dawati la jinsia Catherine Ruge. Catherine Ruge ni mmoja ya Kikundi cha ndani ya CHADEMA cha G55 chenye Malengo ya kukwamisha Kampeni ya no reforms no Election. Pia wanadaiwa...
  7. figganigga

    PreGE2025 Kanda ya Kusini: Shughuli za Ndanda zasimama mapokezi ya Tundu Lissu

    Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu akiwasili Ndanda mchana huu kuendelea na Operesheni ya No Reforms No Election. Ndanda ipo Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara
  8. Knock life

    Huruma sio malezi , safarii hii hakuna kuwahurumia Ccm kauli ni moja nchi nzima hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi

    Huruma sio malezi , safarii hii hakuna kuwahurumia Ccm kauli ni moja nchi nzima hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi
  9. Nehemia Kilave

    PreGE2025 Kiuhalisia hatukumuelewa Hayati Magufuli, kwa sasa hakuna namna tumuelewe Tundu lissu . Wakati wa ukombozi ni sasa

    Kiuhalisia tofauti kubwa kati ya Hayati Magufuli na Tundu lissu ni majina na vyama lakini wote wawili ni wazalendo wa kweli . Hayati JPM aliumia sana masilimali za nchi zilipochezewa na alitamani sana kuona Tanzania ikisonga mbele , kwa sasa tuna Tundu lissu kimtazamo hana tofauti na JPM ...
  10. Carlos The Jackal

    PreGE2025 TUNDU LISSU, wewe ni mwanasheria, Watia Nia G-55 Si lazima wagombee kupitia CHADEMA, wanataka kulitumia jina la chama Kwa Masilahi yao, WAFUKUZWE

    Vyama Nchi hii ni zaidi ya 10, Mkutano Mkuu ulikubali No Reforms, No Election. Inawezekana Mwenyekiti Mbowe na Genge lake walikua wanafanya Siasa za udalali Kwa Lengo la kuwafanya CCM wapandishe DAU zaidi . Kwa Lugha nyingine, zile kelele za kukushambulia huku Mbowe akisifiwa na kumwagiwa...
  11. P

    PreGE2025 VIDEO: Freeman Mbowe akitangaza agenda ya No reform No Elections, G55 Wanadhihirisha ule ulikuwa ni mchezo wa maigizo wa Mbowe

    Kuna wakati Watanzania tunaanza kuamini Freeman Mbowe alizungukwa na vijana hatari sana huku yeye akila na kulala nao. Kama wanavyojitambulisha hawa vijana wanaojiita G55 ni vijana toka team iliyojitanabaisha kuwa ni team Mbowe wakati wa Uchaguzi wa ndani ya CHADEMA mapema mwaka huu. Kama...
  12. technically

    Ushauri : Tundu Lissu wafute uwanachama wajumbe 55

    Kwanza ni matapeli Mtu Kama yeriko na mrema ni watu wa kukisemea chama kweli kweli? Wahuni,!! Futa uwanachama wao haraka kabla hawajapokea pesa yao chafu Kuna tetesi wamevuta pesa nyingine Kama walivyovuta mwaka Jana na kufeli vibaya Project part two inaendelea Lissu na Heche msicheke na...
  13. S

    PreGE2025 Lissu yuko tayari kuumizwa na hata kufungwa jela kama Mandela na wapigania uhuru wengine

    Hii ndio point aliyofikia Liisu na Heche na pia anafanya jitihada kuwaandaa kisaikolojia wanachama na wafuasi wa CHADEMA nchi nzima juu ya hatari inayowakabili katkika kufanikisha agenda ya "no reforms, no election." Liissu anafahama kabisa ili kuiondoa CCM madarakani, ni lazima wawe tayari...
  14. K

    PreGE2025 Nayaona haya kwa Tundu Lissu na CHADEMA nikiwa kama 'political strategist'

    Nikiwa kama 'political strategist' nimetafakari na kuchambua hali ya siasa za upinzani hususani CHADEMA kuelekea uchaguzi Mkuu na nimeona yafuatayo: Kwanza ,nimeona kuwa upinzani wote watashiriki uchaguzi kikamilifu na kwa kiwango kikubwa. Hapa CCM haitakiwi kubweteka na wanajipanga kwa mbinu...
  15. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Wasaka Tonge, Mmemlazimisha Tundu Lissu Leo kutoa Siri ya kwanini Anapigania Mgawanyo wa Majimbo kulingana na Idadi ya Watu, Mmewasanua CCM!

    Hivi hivi Ndugu zangu, Ukweli ni kwamba , Yale Mabadiliko ya Sheria za Vyama vingi mwaka 1992, yalipoondoa Sheria ya Ugawaji majimbo kulingana na Idadi ya Watu, Kwa wakati ule wa Chama Kimoja, na Upinzani wa kawaida, Sheria hiyo iliondoshwa Si Kwa sababu Kura nyingi zilikua Mjini , La Hashaa...
  16. G

    PreGE2025 Hongera Lissu kwa kuleta mabadiliko ya Uongozi nafasi ya M/kiti ,utatosogeza mahali Ila bado CHADEMA inahitaji kiongozi kumalizia kazi

    Nilijizuia kulisema hili muda mrefu Ila niweke wazi maana naona inazidi kudhirika nilichokuwa naona kuhusu mh Lisu. Kiu yetu kubwa ilikuwa kwanza mabadiliko ndani ya chadema haswa nafasi ya juu ili kufanya Chadema kufanya kazi Kama mfumo sio one man show. Huo ni ushindi mkubwa kwa Lisu wapenda...
  17. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Tundu Lissu: Wanasema ‘No Reform No Election’ unaashiria uasi, na tupo tayari kufanya hivyo

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Tundu Lissu, amesema wako tayari kufanya ‘uasi’ ili kuzuia Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba mwaka huu usifanyike. Lissu ametoa kauli hiyo leo, katika Mkutano kati ya Uongozi wa Juu na Wanachama wenye nia ya kugombea Uongozi mbalimbali...
  18. sinza pazuri

    Lissu kataza wafuasi wako kutumia jina la Soka kujijenga kisiasa. Mwacheni Mbowe apumzike

    Lissu kataza awa wafuasi wako kuendelea kutumia jina la Soka kufanya siasa chafu za chuki. Mnawaumiza ndugu zake Soka kuendelea kutumia maswahibu yaliyomkuta huyu kijana kupata uungwaji mkono. Waoneeni huruma ndugu zake walio kwenye majonzi. Wakati wa kampeni mlisema mkipata madaraka...
  19. DR HAYA LAND

    PreGE2025 Naunga mkono hoja ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ya kusogeza uchaguzi mbele hadi 2027

    Katika kuweka malengo huwa unabidi usiangalie muda Ila unabidi kuangalia njia sahihi ya kutimiza hayo malengo. Kutoa miaka mitatu ya kujipanga kuandaa reform , kuandaa katiba Mpya sio mbaya maana ukisema uingie katika uchaguzi bila reform yoyote wala katiba Mpya unakuwa umefanya Kazi bure Hvyo...
  20. Mbangaizaji wa Taifa

    Tetesi: Watanzania wengi hasa wabunge na madiwani wameipokea kwa shangwe hoja ya Tundu Lissu Uchaguzi ufanyike 2027 baada ya reforms zote kufanyika

    UJUMBE: CCM chukueni hii miaka mitatu ya bure Kwakuwa nyie sio Mungu hamuwezi jua yatakayotokea kwenye Uchaguzi kama mtalazimisha kuingia kwa lazima. !!!!!! Chama kikuu cha Upinzani nchini Tanzania cha CHADEMA pamoja na chama cha ACT Wazalendo wametoa ofa kwa Rais wa Tanzània Mhe Samia...
Back
Top Bottom