Tundu Antipas Lissu ni mtu ambaye amekoswa-koswa sana katika siasa za nchi hii. Amenyimwa haki zake alipokuwa Mbunge, Amepigwa, amefungwa, ametukanwa na kumiminiwa risasi nyingi sana ili tu auawe. Lakini Mungu akasema, hapana. Lissu, bado nina ahadi naye.
Ni ahadi ipi aliyonayo Mungu kwa TAL...