tundu lissu

  1. PreGE2025 Kubenea: Mbowe hakutarajia kushindwa na Lissu, nilimshauri asigombee

    Mbunge wa zamani wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea kupitia Wasafi FM ameeleza kuwa kuna watu ndani ya CHADEMA mpaka leo hawaamini kama Tundu Lissu ni Mwenyekiti wa Chama na madhara ya kuto kubali matokeo yake ni makundi kuibuka. Ameongeza kuwa hata Freeman Mbowe hakuamini kama anashindwa na...
  2. Eti Rais Samia Suluhu Hassan anaweza kweli kuwa nyuma ya uovu anaotendewa Tundu Lissu?

    Sitaki kuamini kwamba MamaSamia2025 yuko nyuma ya mpango wa hiki kinachoendelea. Ninafahamu kwamba MamaSamia2025 ni MTU mwenye dhamira safi licha ya kwamba watu walipotekwa alisema ni vijidrama na Mzee Kibao alipouawa na watu wanaodaiwa ni Polisi, akawapa Polisi haohao KAZI ya kujichunguza na...
  3. PreGE2025 John Heche: Nimepata taarifa za kuaminika kuhusu mpango wa kumkamata Tundu Lissu kwa Kumbambikia Kesi ya Uhaini"

    Sababu kuu ya kufanya jambo hili la kishamba, ni kushindwa kujibu hoja zake za No Reform No Election Nimepata taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika, mpango wa kumkamata Mwenyekiti wetu wa Taifa ni kumbambikizia kesi ya (treason)Uhaini. Soma Pia: Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga...
  4. Nauliza jambo gani lingetokea pale wananchi wangesema hawataki Tundu Lissu akamatwe?

    Nataka niulize hili swali kabla sijaenda kulala. It is just a rhetorical question. Itakuwa vipi kama wananchi wakisema,"Nyie Polisi,msimkamate Tundu Lissu?"
  5. PreGE2025 Tundu Lissu anatekeleza kwa Vitendo Falsafa ya 'Uasi' iliyoasisiwa na Mwalimu Nyerere

    Picha kwa hisani ya: Mwananchi: https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/matukio-kumi-ya-uasi-wa-mwalimu-nyerere-3805830 Tutake tusitake, sasa ni wazi kwamba, kupitia ajenda ya "No Reform No Election" Tundu Lissu anatekeleza kwa Vitendo Falsafa ya "Uasi" iliyoasisiwa na Mwalimu Nyerere...
  6. PreGE2025 Lissu anajibiwa Kwa hoja, madai yake ni ya Wanachi wote, tangu enzi za Nyalali, Lissu ni Mjumbe alotumwa kuyasimamia

    Kuna MTU anatengenezewa Kwa bahati mbaya anaingia Kichwa Kichwa , makosa yale yale yaliyomuondoa yeye ndo na yeye anayarudia. LISSU anajibiwa Kwa HOJA, Madai yake ni ya Wanachi wote, tangu Enzi za Nyalali, LISSU ni Mjumbe alotumwa kuyasimamia . Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa...
  7. R

    Hivi sasa Kila mtanzania anauliza "Lissu amekamatwa kwa kosa gani?, Hongreni Polisi

    Hello! Muda ulikuwa mchache kwa Lissu kuifikia nchi nzima kupeleka ushawishi wa No reforms no Election, sasa jukumu Hilo rasmi limechukuliwa na polisi wetu kwa kumkamata Tundu lissu. Hivi sasa Kila mtanzania Hadi vijijini atauliza sababu ya kukamatwa Lissu na kujibiwa, "NO REFORMS NO...
  8. Jinsi Vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi vinavyaendelea kuripoti tukio la kukamatwa kwa Tundu Lissu huko Mbinga, Tanzania

    Kwa nini Polisi wamefanya Operesheni ya Kumteka Lissu na Kuvuruga Mikutano ya Chadema huko Tanzania Kusini? VIDEO: Purukushani za tukio la kukamatwa kwa Lissu na wenzake (Angalizo: Video ina ukakasi) Picha: Lissu akiwa anadondoka baada ya kulimwa ngwara Swali Pasua Kichwa Watanzania...
  9. PreGE2025 Asilimia 90 ya Watanzania wana imani na Lissu kuwa sio kibaraka wa CCM. Tofauti na Mbowe. Hii itawasumbua sana wanaCCM

    Wananchi wameanza kupata maono kama kuna mtu ameibuka kuwapambania juu ya maslahi yao na taifa lao. Tofauti na yule Jamaa aliyekuwa anaenda Ikulu kunywa juic za Ceres. Na hii inakuja kuleta upinzani mkubwa kwa CCM. Maana wananchi wanaiona CCM haina msaada kwao Idu wa Igunga.
  10. S

    Lissu wanaweza kumtesa lakini asiwe kama Mwamba aliyetoka Mahabusu akaibukia Ikulu

    Baada ya kumkamata Tundu Lissu, hiki ndicho kitu ambacho serikali ya CCM watafanya katika kukabiliana na vuguvugu la NO REFORMS, NO ELECTION. Anaweza kupewa mashitaka mazito na aakamnyima dhamana kama ilivyokuwa. Kwa Dr. Slaa na Mbowe au kama ilivyokuwa kwa Godbless Lema wakati wa Magu All in...
  11. PreGE2025 Tundu Lissu na sera za mihemko – uongozi usio na hoja, na mwelekeo

    Katika video inayosambaa mitandaoni hivi leo, Tundu Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, anasikika akitoa kauli zilizojaa jazba, dhihaka na matusi kwa serikali, huku akikosa kabisa hoja mbadala au dira ya kisiasa inayojibu changamoto za Watanzania wa leo. Kauli zake zimeacha maswali mengi kuliko...
  12. PreGE2025 VIDEO: Sauti ya Tundu Lissu dakika chache kabla ya kukamatwa na Polisi

    Kutoka Mbinga eneo la mkutano ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antiphas Mughwai Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi Pia, Soma: Jeshi la Polisi limemkamata Tundu Lissu akiwa Mbamba Bay
  13. PreGE2025 Tundu Lissu akamatwa na Polisi akielekea Mbinga, Ruvuma

    Jeshi la Polisi limepiga mabomu na kumkamata Tundu Lissu muda mfupi baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wake huko Mbamba Bay mkoani Ruvuma sasa hivi. TAARIFA KUTOKA CHADEMA BreakingNews Mwenyekiti wa Chama wa Taifa Mhe. Tundu A. Lissu amekamatwa na Jeshi la Polisi wilaya Mbinga. Mhe. Lissu...
  14. R

    PreGE2025 Ansbert Ngurumo/Ulimwengu wamtabiria Lissu kushinda Urais. Nyota yake asiipoteze. Zama za Tundu Lissu zitumike vizuri

    Anasema Lisu nyota yake inangara sana, akiichezea hataipata tena. Anakubalika na kila mmoja. Asipoteze nafasi , asipoteze kete hii. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na...
  15. M

    PreGE2025 Amos Makala, Peter Msigwa na Abdul Kambaya kukiwasha mkoa wa Lindi kusafisha uchafu wote uliofanywa na Tundu Lissu

    Hongereni sana CCM kwa kufanya ziara ya kwenda mkoa wa Lindi kupangua hoja zote za kitoto zilizotolewa na Tundu Lissu katika wilaya ya Ruangwa, Nachingwea, Mtama, Kilwa. Kule Nachingwea Bw.Lissu amechafua sana hali ya hewa, ametukana sana viongozi yeye na mwenzake Lema. Lema amemchafua sana DC...
  16. M

    PreGE2025 Lissu ataja mambo wanayoyataka ili CHADEMA ishiriki uchaguzi

    Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chadema, amesema chama chake hakitashiriki Uchaguzi Mkuu ujao bila kufanyika mabadiliko sita muhimu ya mfumo wa uchaguzi, akisisitiza kauli yao ya “No Reforms, No Election” akiwa katika Operesheni ya Kanda ya Kusini wilayani Namtumbo, Ruvuma. Mambo hayo sita ni...
  17. The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!

    Wanabodi, Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。 Ulimwengu wa Mwilna Ulimwengu wa Roho Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho. Kusikia Sauti Hii ni thread...
  18. S

    Yawezekana tabia ya udalali wa kisiasa ndio ilipelekea CHADEMA wasitangazwe washindi kwenye Chaguzi

    Akili zangu za usiku wa kuamkia leo zimenituma kuwaza hivyo. Yawezekana katabia ka kufanya udalali ndiko kalikokuwa kanazuia CHADEMA wasitangazwe washindi ngazi ya Rais hata kama ni kweli walikuwa wanashinda Mabadiliko ya uongozi ndani ya CHADEMA yamenifanya nione tofauti na kuwaza hiki...
  19. PreGE2025 Unadhani ni kwanini kampeni ya tone tone kuichangia pesa CHADEMA kidigitali imekwama kwenye hatua za mwanzo kabisa?

    No reform no elections ya Lisu, imefeli vibaya kama ilivyoshindwa na kukauka kabisa kampeni ya kuchangia pesa kidigitali kwa mtindo wa tone tone ya Lema. Unadhani , Nini sababu ya yote haya kutokea chini ya uongozi mpya wa Chadema? Ni kwasababu kampeni hiyo haikueleweka vizuri kwa wanachadema...
  20. PreGE2025 Lembrus Mchome: Tundu Lissu hana tofauti na Magufuli ni dikteta uchwara

    Kiongozi wa Chadema wa Wilaya ya Mwanga ameeleza waandishi wa habari kwamba Lissu ni dikteta sawa na JPM. Mchome ameeleza hayo wakati akiongea na waandishi wa habari. Mchome amelalamika chama chake kushindwa kuifanyia kazi barua yake ambayo inaonyesha Mnyika, Golugwa na wengine kwamba...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…