tundu lissu

  1. N

    Je, Tundu Lissu kuachiwa huru Jumatatu?

    Kufuatia kelele nyingi toka ndani na nje ya nchi kuhusu uonevu anaofanyiwa Mheshimiwa TAL na serikali ya CCM kwa kumbambikia kesi ya uhaini, vyanzo toka ndani vinatanabaisha tarehe 19/05/2025 Mwenyekiti taifa wa Chadema ataachiwa huru. Stay tuned.
  2. K

    Naapa sitoondoka Chadema labda Tundu Lissu na Heche wasiwepo duniani

    Naapa sitoondoka Chadema labda Makamanda Tundu Lissu na Heche wasiwepo duniani, Maana hawa wengine nimegundua walikuwa nyoka tu,akiwemo kiongozi wao Mbowe Na sitokuja kujiunga na Chama chochote kile,labda kiwe chini ya hawa makamanda Tundu Lissu na Heche, lakini siyo hivi vyama vya waganga...
  3. M

    Mapito ya Lissu na CHADEMA katika Lenzi ya Maandiko mtakatifu na harakati za kutafuta ukombozi

    Kama wengi mnavyoshuhudia yanayojiri nchini. Nchi yetu kwa sasa hivi ipo katika mapito magumu na makali kuelekea mabadiliko. Hapana shaka mabadiliko yanakuja na hakuna mtu wa kuyazuia maana huu ni wakati wake. Yeyote atakayejaribu kuyazuia yatamtupa pembeni au kumsaga tikitiki, maana hili ni...
  4. Barua ya wazi kwa Tundu Lissu

    Mwanangu Tundu Antipas Lissu Mughwai, Salamu toka kwa baba yako na wapenzi na mashabiki wako. Nakusalimu kwa jina la Jamhuri yenye haki ya Tanzania. Japo tunawasikia wakihaha, uzuri ni kwamba wamekuficha na kushindwa kukuchafua na kukufuta kwenye nyoyo zetu na ulingo wa siasa hata kama ni za...
  5. PreGE2025 Mkutano wa IDU waazimia kwa pamoja, Tundu Lissu aachiwe mara Moja. Mke wa Lissu ahutubia

    CCM na Genge lake, walikaa Wakaona wamkamate Naibu Katibu Mkuu, ili ashindee kutoa Hotuba kwenye Mkutano wa IDU Nchini Ubelgiji. ( Unaweza jiuliza Mkuu, Hivi CCM na Genge lake hamna mwenye Akili, yaan Kwa Dunia ya Leo, unamkwamisha MTU safari ili asipate fursa ya kufikisha mawazo na Maoni ?)...
  6. Tundu Lissu alishachaguliwa na Mungu anapendwa tu na Wananchi, CHADEMA inapendwa na Wananchi, anayehama atapotea, anayehamia CHADEMA atainuliwa

    Wakuu nadhani hili tuliweke sawa. Hivi mnajua TUNDU LISSU ni mpakwa Mafuta wa Mungu!? Huyu Mh yeye anapendwa tu yaan yeye hata asingeshinda Uenyekiti akahama chama au akaanzisha chama chake, Wananchi watamfuata tuu na bado atakua tishio. CHADEMA inapendwa na Wananchi , kwahiyo Kiongozi akiwa...
  7. PreGE2025 Tundu Lissu ataachiliwa kabla ya Uchaguzi Mkuu na Atagombea japo hatashinda

    Kutoka Huko Youtube leo naona Kuna unabii Mkubwa sana kuelekea uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika Octoba mwaka Huu. Nimekuta video ya Mtu wa Mungu Nabii Philbert akitabiri mambo mazito kweli kweli, Huyu mtu simjui ila nimepitia Huko youtube anatabiri mambo mengi sana. sasa Sijui kama ni...
  8. PreGE2025 Mawakili wa Tundu Lissu: Tutaiomba mahakama iamishie shauri Law School ili watu waje wengi

    Umoja wa mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu wanatoa tamko muda huu jijini Dar es salaam mbele ya Waandishi wa habari.
  9. I

    Ni matusi kwa Waafrika kumfananisha Tata Madiba (Nelson Mandela) na Tundu Lissu

    1. Mandela hakuficha watoto wa mke nje ya nchi wakati akiwa jela, Lissu ameficha mke na watoto Marekani akisingizia sababu za kiusalama. Wakati wa Mandela, SA ilikuwa hatari zaidi lakini waliamua kubaki nchini. 2. Mandela alitanguliza maridhiano badala ya visasi. Baada ya kutoka gerezani -...
  10. N

    PreGE2025 Mawakili wa Lissu: Tujitokeze kwa wingi kusikiliza kesi ya Lissu, Mei 19

    Mawakili wanaomuwakilisha Tundu Lissu wakiongozwa na Wakili Jebra Kambore, Dickinson Matata wanazungumza na waandishi wa habari Mei 14, 2025. Itakumbukwa mteja wao Tundu Lissu anakabiliwa na Kesi mbili uhaini na kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni. Kesi hizo mbili zinatarajiwa kutajwa Mei...
  11. PreGE2025 Heche: Mmemkamata Lissu chama kipo mikononi mwangu, haki ya Mungu tutawashughulikia

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche atangaza misimamo mikali ya chama hicho baada ya kukamatwa kwa Mwenyekiti wao ndugu Tundu Lissu. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara...
  12. PreGE2025 Kigaila: Siwezi kuongelea kesi ambayo ipo mahakamani ila najua Lissu ana kesi ya uhaini

    Kipindi anakamatwa Mbowe nilikuwa ni kiongozi, nilikuwa na jua kazi anayofanya Mbowe, alivyokatwa, nilikuwa naenda mahakamani, na nilikuwa najuwa nini kinaendelea, nilikuwa na kaa vikao vya kamati kuu ya chama na nikajuwa kwamba hii kesi ya Mbowe ya ugaidi haina mashiko. Ila hii ya Tundu Lissu...
  13. U

    Wengi wanaomshabikia Lissu hawazingatii maslahi ya Taifa

    Wadau hamjamboni nyote? Haya ni maoni makini kabisa yasiotia shaka hivyo wewe mchangiaji uache jazba na kejeli unapochangia uzi huu Ndiyo mashabiki wake wengi hawana shughuli rasmi za kwenye mifumo, hawako makini kuainisha au kuchambua sera husika na hawatangulizi maslahi mapana ya nchi yetu...
  14. Kama ukifanikiwa kupata fursa ya kukutana na rais Samia kuhusiana na kadhia ya Tundu Lissu, unaweza kumshauri nini?

    Japo kadhia ya kukamatwa na kuwekwa ndani na kufunguliwa mashitaka ya uchochezi na uhaini linachukuliwa kuwa ni la kisiasa, ni la kijamii hata kiuchumi pia. Hivyo, kama wadau, tuna haki na wajibu kushiriki kulitafutia suluhu mujarabu. Je kama mdau Mtanzania, kama ingetokea ukakutana au kupata...
  15. PreGE2025 Basil Lema ajitoa rasmi CHADEMA, asema ukiwa karibu na Tundu Lissu upo salama, ukiwa karibu na Freeman Mbowe haupo salama

    Katibu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema amesema Watanzania walipaswa kusikia chama hicho kitanyakua majimbo mangapi katika uchaguzi wa Oktoba, lakini imekuwa kinyume badala ya wanasikia makada wangapi wanakihama. Lema ambaye amedumu katika...
  16. PreGE2025 Kada wa CCM: Rais Samia mwachie Tundu Lissu (Msingida) inatia doa uongozi wako bora

    Mtazameni na msikilizeni huyu kada wa CCM kisha tia neno unapata ujumbe gani kupitia kwake kuhusu kesi ya Tundu Lissu.... Anamtaka Mwenyekiti wake taifa - CCM, Bi Samia Suluhu Hassan kumwachia Tundu Lissu kwa sbb eti "..inatia doa uongozi wake bora..!!" Kwa wajuvi wa mambo ya propaganda za...
  17. Anayopitia Tundu Lissu

    Binafsi nimekuwa kwenye tafakuri kuhusu maisha, nimewaza haya.. Kuna watu Mungu kawapa mioyo ya huruma kiasi kwamba yupo tayari kubeba adhabu ya Mtu au watu wengne, na kuwaokoa awapendao Tundu Lissu anaipenda Nchi yake, tena sana. Upendo uwo hauelezeki, Katika biblia, Mfalme Daudi alipoona...
  18. Lissu ni shujaa na ni baba wa taifa kama Nyerere ni watu wachache sana wenye moyo kama huu amejitoa maisha yake kwa Watanzania

    Lissu ni shujaa na nibaba wa taifa kama Nyerere ni watu wachache sana wenye moyo kama huu amejitoa maisha yake yote na kuacha familia yake na wapendwa wake kwaajili ya watanzania maskini sasa yupo gerezani. Tumuunge mkono kwa nguvu zote na kumfariji kwa mapambano yake dhidi ya watu wenye tamaa...
  19. B

    Tundu Lissu yuko Gerezani, hana mawasiliano na mtu yeyote, kishindo chake kinatikisha Dunia nzima. Bado mnamchukulia poa?

    Ukweli usemwe, kazi za Lissu hapa Nchini na Nje ya Nchi hazina mashaka. Ni very clean job and Assignments. Tundu Lissu ni moja ya wanasiasa safi kabisa ambao hawana tuhuma zozote za rushwax ufisadi, ngono wala uvunjaji wa haki za binadamu na utawala bora. Tundu Lissu historia inaendelea...
  20. PreGE2025 Mtia nia Urais aondoka CHADEMA, amtuhumu Lissu kwa kumshambulia Rais Samia

    Aliyekuwa mtia nia wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na mwanzilishi wa kundi la G-55 Romanus Mapunda ametangaza rasmi kuondoka katika chama hicho. Pia, Soma: Kada wa CHADEMA, Romanus Mapunda atangaza nia ya kugombea Urais 2025 Mapunda amefikia uamuzi huo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…