tumbo

Tumbo is a locality situated in Eskilstuna Municipality, Södermanland County, Sweden with 292 inhabitants in 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Msaada Vitafunwa sahihi kwa mtu mwenye Madonda ya tumbo

    Wakuu nauliza vitafunwa vipi sahihi kwa mtu mwenye Madonda ya tumbo,atumie vitanwa Gani kwa ajili ya chai
  2. M

    JamiiForums Tanzania Msaada Madonda ya tumbo yananitesa tumbo linauma sana

    Habar wakuu nimekua nikisumbuliwa na vidonda vya tumbo mda Sasa tangu 2019 nilipima mpaka endoscopy nkaonekana na vitatu vidonda na acid,,nimetumia dawa za hospital kila aina Bado msaada wenu wa tiba kwa waliopona kupata changamoto ya Madonda ya tumbo sugu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Dawa ya vidonda vya tumbo kwa wale wanaosumbuliwa.

    Hii dawa ni ya kienyeji! Hii dawa imesaidia watu wengi na vidonda vya tumbo kwao imebaki historia. Ni dawa ya maji kwa mgonjwa ambae vidonda vina muda mrefu atapaswa kupata doz 2 mpaka 3 na kwa mgonjwa ambae vidonda havina muda mrefu mwaka mmoja kushuka chini atatumi dozi 2 tu. Bei ya dozi...
  4. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania Tumbo linakata sana, naharisha sana

    Tumbo linakata sina mimba ila naharisha sana kichwa kinauma, shida inaweza kuwa ni nini???
  5. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Tumbo lako ni kama ubongo wa pili

    Wakuu mpo! Mfumo wako wa chakula (Tumbo) ni muhimu kama ubongo. Inashangaza kuona watu wakipanda boda boda wanavaa helmet ila wakienda kula wanakula kimazoea bila kulijali tumbo kama wanavyo kijali kichwa. Watu wengi hawalijali Tumbo, Shibisha tumbo lako kwa kula vyakura vizuri mboga mboga na...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi juu ya tumbo langu linanguruma sana

    Habari zenu wanajamii naomba ufafanuzi juu ya tumbo langu inafika siku linanguruma sana hlf nikienda haja napata choo kilain kiufupi huwa naharisha mwisho choo kinakuwa kama makamasi ila hii hali inakuja na kukata kwa vipindi tofauti hii inakuwa inasababishwa na kitu gani?
  7. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Ukiona taifa lina mwanasiasa ambaye hapendi taifa lake liwe na katiba ambayo italinda maslahi ya taifa ujue huyo yupo kwa ajili ya tumbo lake

    Naona WanaCCM hawataki kuwa na katiba kama ilivyopendekezwa na tume ya Jaji warioba. Mfano , taifa letu kuwa na Mawaziri wasio wabunge na hata kuwa na tume huru ya uchaguzi. Kwa katiba hii na Philp Mpango ameona kuna mizengwe baada ya uchaguzi 2025 tutarajie ufisadi kama ule wa Kagoda...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Hata mnilishe nishibe tumbo, mnilaze pazuri na mnipe mahela yote, mkinyima haki ya kuongea na kuwakosoa manjisumbua tu!

    Ndivyo wanavyotufanyia hawa watawala. Wanajifanya wametufanyia mambo mazuri lakini wapi bhana. Mei Mosi walipandisha mishahara ya kima cha chini kwani kuna mtu amenyamaza kuwasema kwa wanavyomtenda TAL. Wamezindua madaraja na mavivuko lukiki kwani kuna watu wanasahau Gwajima aliyoyasema...
  9. Technophilic Pool

    JamiiForums Tanzania Je, vidonda vya tumbo vinaua? Nasikia watu wanasema vinaua bado hainiingii akilini

    Wakuu nipeni update vidonda vya tumbo vinauwaje?? mi sijui mechanism Au kama kuna evidence za watu kufa Na kama kuna Mtu alishawai pona completely
  10. Genesis_2030

    JamiiForums Tanzania 🩺❓Je, unapata maumivu ya tumbo chini ya kitovu? Uvimbe usio wa kawaida tumboni? Hedhi nzito au isiyo ya kawaida?

    Hii inaweza kuwa ishara ya moja kati ya changamoto kubwa mbili za afya ya uzazi: Ovarian Cyst (uvimbe kwenye mfuko wa mayai) au Fibroids (uvimbe kwenye mji wa mimba). 🔍 Ovarian Cyst ni Nini? Ni uvimbe uliojaa maji unaotokea kwenye moja au ovari zote (mayai ya uzazi). Mara nyingi ni wa kawaida...
  11. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Wamefuga Tumbo, Wanasema Taifa Limezembea! 😂

    😄 "Miaka 60+ ya uhuru bado tunajadili barabara, maji na umeme, halafu wewe una miaka hiyo hiyo 60+ unalalama tu😈😈. Basi tuambie, kati ya Taifa na tumbo lako, nani aliyefanya uzembe? Au ulikuwa unahifadhi umeme kwenye tumbo mpaka ukasahau kuusambaza?" — Alloyce, P.R.
  12. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Ewe mwanasiasa unaefanya anasa kwa pesa za umma, Hauwaonei huruma watanzania wenzako wanaoteseka?

    Takribani watanzania milioni 40 ambao ni 64.8% ya watanzania wote huamka kila siku wakiwa hawana uhakika wa -chakula bora, -maji safi, -huduma za afya, -elimu inayoeleweka kwa watoto wao n.k Lakini pia kuna mtanzania muda huu hajui wapi atapata pesa ya kukomboa maiti ya ndugu yake ambayo...
  13. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA brand yao kubwa ni "Ubwabwa" ndo imetambulisha sokoni wao wanapigania tumbo

    Hiki chama kinaitwa CHAUMMA ndio nimekisia Ila nadhani ni chama cha mfukoni. Haiwezekani Sera yako iwe ubwabwa huu ni utoto mkubwa.
  14. L

    JamiiForums Tanzania Tumbo linawaka moto kama kuna maji ya kuunguza yanamwagwa tumbo

    Naombeni msaada naungua tumbo, mbavu zinauma yaan sina raha, mgongo unauma vichomi kwenye mbavu na wakati mwingine kifuani
  15. A

    JamiiForums Tanzania Je, unaweza ukawa una vidonda vya tumbo na usipate maumivu ya tumbo?

    Mambo vipi wana jamvi, naomba kuuliza, kwa uchache sana. Hivi unaweza ukawa una vidonda vya tumbo halafu usiumwe na tumbo? (usipate maumivu) kama ni ndio naomba kwa ufupi sana dalili nyengine za vidonda vya tumbo
  16. kipara kipya

    JamiiForums Tanzania Mtu mmoja mwenye tamaa za tumbo anapoamua kuzuia haki za walio wengi kushiriki haki ya kuchagua!

    Dikteta ucharwa msimamo wake wa kutaka kuzuia uchaguzi unapelekea kuwanyima haki au kuzia haki ya wapenda haki katika kushiriki katika zoezi zima la uchaguzi dikteta uchwara..ameweka msimamo huo kwa kuwatisha wasaidizi wake wote hata mteule wake katibu mkuu mnyika ametishwa jana asishiriki kikao...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Kumbe tumbo ni kitu kibaya sana

    Agenda ya CHADEMA ya No reform No Election imepelekea baadhi ya wanachama wa CHADEMA kuelekea kuasi kwa sababu ya tumbo. Wengi wao wako pale kwa kutafuta masilahi na siyo vinginevyo. Agenda hii ilianzishwa na Mbowe mwenyewe leo hii mnamlaumu Lissu. Kumbe wengi hawapo pale kwa ajili ya Chama...
  18. NALIA NGWENA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Medali iliyopelekwa ikulu na Yanga SC inawatia Tumbo joto Simba SC

    Naaam! Medali ya fainali waliyoipata Yanga SC Baada ya Kucheza fainali kwenye michuano ya kimataifa (SHIRIKISHO) ni mzimu unaowatafuna Simba SC kwa kuwatia Hamasa, nguvu morali ya Kupambana ili kurejesha amani ya Mashabiki Wao Wenye ugwadu na uchu Wa kuona timu Yao imefika ama kuvuka hatua...
  19. Maleven

    JamiiForums Tanzania Mwanaume unatakiwa kua na kifua kikubwa, na tumbo na kiuno kidogo

    kwa kichwa cha habari hicho, vijana wadogo watawaza physically na watu wazima watawaza Abstractly . Vyote vina mantik
  20. W

    JamiiForums Tanzania Bile acid reflux inanisumbua

    Habari naomba kusaidiwa dawa ya kupona bile acid reflux, nilienda hospital baada ya kuwa nasumbuliwa sana na tumbo kuwaka moto kama naungua tumboni baada ya kipimo cha endoscopy shida ilionekana mlango wa chini wa tumbo upo wazi nyakati zote( sphincter pyloric) kwahiyo unaruhusu alkaline kutoka...
Back
Top Bottom