toyota

  1. salehe magari

    Car4Sale Nauza Toyota Rumion# DWB

    On sale🚘 FIMBO SANA (ENGINE NDOGO) toyota RUMION Reg number ....D.W.B (GARI NI NZURI SANAA ) Year 2009 Engine Cc 1490 LOW MILEAGE 61000KM CLEAN AS NEW *Price (14,800,000) 0688591584 NAVUNJA NA GARI YOYOTE√
  2. EINSTEIN112

    TANZIA 10 wafariki baada ya lori la Polisi kugongana na kirikuu Kilimanjaro

    #BREAKINGNEWS: Watu 10 wamefariki dunia na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya Lori la Polisi kugongana na gari dogo la mizigo (KIRIKUU), katika eneo la Datch Conner, Siha mkoani Kilimanjaro. Mkuu wa Wilaya ya Siha Christopher Timbuka amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, huku akibainisha kuwa...
  3. Grand Canyon

    Msaada kuhusu device hii kwenye Toyota Raum

    Naomba anayejua hiki kifaa ni Nini na kinafanya Kazi Gani? Kiko kwenye Raum katikati ya siti ya dereva na abiria. Ukiwasha gari kinawaka.
  4. Mapank

    2024 Toyota LandCruiser 70 Series inapata injini ya dizeli ya lita 2.8, lakini V8 inabaki

    Bei za Toyota LandCruisers zenye uwezo wa 1VD zimepanda hivi karibuni wakati Toyota ilipotangaza aina ya 2024 LandCruiser 70 Series itakayoendeshwa na injini ya dizeli ya 1GD 2.8-lita yenye cylinder nne inayoungwa automatic gear box, lakini habari njema ni kwamba V8 inabaki kwa ajili ya wakati.
  5. salehe magari

    Car4Sale Nauza Toyota Raum

    ONSALE🚘 TOYOTA RAUM Reg number .DEJ Year 2005 Engine Cc 1490 *Price (7,900,000) 0768160670
  6. salehe magari

    Car4Sale Nauza Toyota Alphard #EBM

    @on sale alphard fimbo sana 18,900,000 TOYOTA ALPHARD (EBM) Year 2005/6 Engine Cc 2360 Rim sports New tyre Low mileage 59000 0768160670
  7. salehe magari

    Car4Sale Nauza Toyota wish

    ON SALE (DLT) Price 10.7mls TOYOTA WISH KALI SANA Engine 1790 Low mialage Rim sports New tyre Clean sana 0768160670
  8. Abuu Kauthar

    Car4Sale Toyota Kluger For Sale

    Kluger 2002 model CC 2360 Mileage 83,000km Bei 18.5m Highly Negotiable
  9. M

    Toyota Crown Japan Ni taxi

    Tunakumbushana tu kuwa Toyota crown Japan ni taxi tu. So tupunguze shobo na kuvimba bila sababu.
  10. S

    Natafuta Toyota wish 7M

    Nataka kununua Toyota wish namba D aya mwanzoni iwe nyeusi kwa 7M kama unayo naomba namba tufanye biashara hata ikiongezeka laki tatu ya dalali sio mbaya
  11. S

    Natafuta Toyota Brevis 5M

    Nataka kununua Toyota Brevis nina 5M mwenye nayo nipe namba tufanye biashara hata ikiongezeka laki tatu ya dalali sio mbaya
  12. Nrangoo

    Inahitajika Toyota corolla

    Wakuu nimeambatanisha na picha hapa chini, mwenye nayo naomba tuwasiliane. Njoo na offer yako
  13. H

    Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo

    Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo Naomba kufahamu ubora na changamoto za Passo. Picha: Toyota Passo
  14. H

    NAOMBA KUJUZWA ZAIDI KUHUSUTOYOTA PASSO

    Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Passo Naomba kufahamu ubora na changamoto za Passo. Picha: Toyota Passo
  15. kayanda01

    Kwa Tsh. Milioni 5 nifungue Uwakala wa Benki ama ninunue Toyota Probox niipeleke ruti za vijijini?

    Wasalaam. Title yajieleza. Tsh 5M nataka kuizalisha. Nawaza hizo ideas mbili, aidha (a) Kufungua Uwakala wa Bank ama (b) Kununua Toyota probox (mkononi mwa mtu) na kuipeleka route za vijijini. Location: Ndani ya Mkoa wa Geita. NB: Ideas hizo zote mbili ni mgeni nazo, sijawahi kuzifanya...
  16. Mukulu wa Bakulu

    Je, ni wazo zuri kubadili gari kutoka Toyota Vanguard 2011 kwenda Nissan Extrail Third Generation ya 2016?

    Wakuu naomba kufahamu wataalamu wa magari, je ni wazo jema mtu kutaka kuuza Vanguard ya mwaka 2011 na kutaka kununua Nissan Extrail ya mwaka 2016. Naomba uzoefu na ujuzi wenu wakuu. Gari zote hizi hapa chini.
  17. Mr Why

    Car4Sale Toyota Brevis Used Inauzwa Mwanza

    Toyota Brevis Used Inauzwa Mkoani Mwanza. Inatembea vizuri haina kipengele Bei 2,500,000. Mazungumzo ya Simu ndiyo mwafaka SOLD☑️
  18. Grand Canyon

    Msaada: Toyota Raum steering wheel ina vibrate

    Majuzi nilipata Pancha kwenye barabara ya lami yenye mashimo tairi ikachanika. Tairi ilikuwa tubeless. Kwa kuwa Nilikuwa kwenye mji mdogo sikupata tairi tubeless hivyo nikaweka yenye tube. Baada ya hapo usukani hautulii. Kabla ya hapo kwenye barabara iliyonyooka ningeweza kuachia usukani na...
  19. vipik2

    Toyota Coaster - Special Hire

    Ndugu zanguni natafuta Coaster ya abiri 29, gari itasafiri na watoto wa shule kwa siku tano mbugani Serengeti, baada ya kumaliza ziara gari itarudi kwa kupitia Bunda, Mwanza, Dodoma mpaka Dar, mafuta, huduma za gari na huduma za dreva itakuwa juu yako, naomba tufanye maelewano kupitia - 0734 933...
Back
Top Bottom