toyota

  1. BARD AI

    Toyota yasaini makubaliano ya Kuunda Magari yake nchini Kenya

    Kenya na Toyota Tsusho Corporation ya Japani wametia saini makubaliano ya mfumo wa ushirikiano katika utengenezaji wa magari na maendeleo ya nishati mbadala. Makubaliano hayo yatawezesha Toyota kuanzisha kiwanda cha kutengeneza magari nchini. kampuni imefanya uwekezaji wa awali wa Kshs 800...
  2. Msolid1990

    Msaada: Fuel gauge na Consumption ya Toyota Premio

    Wakuu kwema? Siku ya Jumamosi nilisafiri na gari yangu Toyota Premio F(1490cc) kutoka Arusha kuja Dar es Salaam. Ilikuwa ndo mara ya kwanza kusafiri safari ndefu kwa kutumia hii gari kwa hiyo nilitaka kujua pia consumption yake ya mafuta highway iko vipi. Siku ya Ijumaa niliweka full tank na...
  3. peno hasegawa

    Waziri wa Madini: Toyota Land cruiser STK 327 (Tume ya madini) hii gari inatumika vibaya kuokota Rushwa na kuwanyanyasa wachimbaji wadogo Chunya

    Leo ninatuma namba ya gari nikijiamini kuwa gari hiyo inamilikiwa na Tume ya madini. Huko gari liliko Kila siku linatumika kukusanya rushwa na kusumbua wachimbaji wadogo. Gari Hilo linafanya ukusanyaji wa rushwa usiku na mchana, siku za kazi na siku za sikukuu. Bosi wa Tume ya madini Chunya...
  4. Sexer

    Car4Sale Toyota Hiace inauzwa 10M tu

    Nauza Toyota Hiace inapiga Daladala Mwanza, bei milioni 10 tu, maongezi yapo. Mawasiliano 0753311398
  5. N

    Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Toyota Allion

    Anayeijua sifa ya hii gari wakubwa kuna mtu anaiuza nawaza kuinunua. Toyota Allion
  6. dalali Tambwee

    Car4Sale Toyota starlet inauzwa

    Toyota starlet inauzwa Bei million 4.3 Cc 1300 Gari ni nzuri Full ac Ipo dar es salaam 0784020604
  7. William Mshumbusi

    Naomba kujua Jinsi Toyota Alphard Hybrid inavyofanya kazi na Ubora wake

    1. Je, ni full hybrid? 2. Inaweza kutembea kwa betri engine ikiwa iimezima. 3. Fuel conception ikoje.
  8. Ezeki62

    Engine ya Toyota inayoweza kuvaa kwenye TATA PICK-UP

    Waungwana habari zenu. Naombeni ushauri,nina gari yangu TATA XENON DICOR 3.0L. Nahitaji kuibali Engine niweke injini ya Toyota. Je niweke injini gani inaweza kuwa poa.?
  9. M

    Madiwani nao wanunuliwe Toyota Land cruiser LC300

    Kama ilivyo Kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, Majenerali wastaafu, mwenezi na Wakuu wa Mikoa. Madiwani nao wanastahili vyombo vya usafiri vyenye hadhi. NB: hizi gari zitarahisisha kumtembelea miradi ya maendeleo Kama ilivyoainishwa kwenye ilani
  10. Magari ya Biashara

    Car4Sale Unahitaji kuagiza magari ya biashara Toyota coastr,nissan civilian, Fuso, Canter na Malori pitia hapa (Mkopo upo)

    OFFA KWA MILIONI 60 TU!!!!! MASHINE YA KAZI (MKOPO - 30%) 2005 MITSUBISHI CANTER | 4M50 | Diesel | Manual BEI MILIONI 60 KILA KITU PAMOJA NA USAJILI, Malipo awamu mbili, unaanza na milioni 45 unamalizia na milioni 15 gari ikifika na unaweza kutumia mkopo kwenye hela ya kumalizia ukailipa...
  11. Magari ya Biashara

    Car4Sale Magari Makali Haya Hapa yanapatikana SHOWROOM kweetu. Ukiwa na pesa pungufu usijali gari utapewa tu

    TUNAPATIKANA UBUNGO STENDI YA ZAMANI YA MKOS MKABALA NA MIC HOTEL NJIA YA KUINGILIA NBC BANK MOROGORO ROAD MAWASILIANO 0711707070 AUDI A4 YEAR : 2013 Stock No: 23/000536 Engine Capacity: 1800CC Mileage:49,524KM TRANSMISSION: AT LEATHER SEAT PRICE:35,000,000/= (With Full Registration) TOYOTA...
  12. B

    Naomba ufafanuzi kuhusu gari aina ya Toyota Raize, IST mpya

    Hii gari ni ist ijayo. Ambaye amewahi kuwa nayo, tunaomba mrejesho.
  13. Sebastiano

    Car4Sale Toyota Allion new model (17.5)

    Engine size Cc 1990 (valvematic) Year 2008 Mileage km 59000 only! Full option (cruise control) Full Ac Bei 17.5m GARI HAINA DALALI. Call 0752506120
  14. Sebastiano

    Car4Sale Toyota Allion new model

    Year 2008 Engine cc1990 (valvematic) Mileage 59000km Full option (cruise control) HAINA DALALI Call 0752506120
  15. Protector

    Kwanini haya Magari aina hii Toyota Fielder sio maarufu sana yana tatizo gani?

    Habari wana jukwaa, moja kwa moja kwenye mada. Kuna aina hii ya magari yanaitwa TOYOTA FIELDER naona kwa hapa bongo ni machache sana na ukikaa barabarani kuyaonayanapita ni nadra sana. Shida ni nini? Pia nimefatilia yanapouzwa yanakuwa na kilometer nyingi sana, mengi siyo chini ya 100,000km...
  16. R

    Car4Sale Toyota Chaser GX81 ipo Arusha kwa bei ya 1.98m

    Gari hiyo hapo. Bei ni milioni moja laki tisa na elfu themanini (1,980,000). Whatsapp 0656388678
  17. Kinyozi_tz

    Nahitaji Toyota Premio 2010

    Kama kichwa kinavyo eleza hapo yeyote anae uza gari ya aina hiyo aje pm.
  18. tamsana

    Naomba uzoefu wa eliyewahi kutumia Toyota Noah generation ya 2008

    Habari ya majukumu wadau. Nimejaribu kutafuta humu taarifa kuhusu Toyota Noah generation ya 2008 sijaweza kupata. Naomba mwenye uzoefu wa hili gari anisaidie ili nifanye maamuzi. Nahitaji gari ya familia sasa nimepata machaguo mawili ambayo ni Toyota Noah na Toyota Alphard. Taatifa za Toyota...
  19. salehe magari mazuri

    Car4Sale Tunauza Magari aina mbalimbali

    Price/Bei 15.7mls Cont: Bmw 3 Series ECY Year 2008 Cc 1990 Low Km 99000 Full Options✅ Sports & New Tyres Clean Condition 0688591584 Navunja Na Gari yoyote°° Location Dar es salaam
  20. salehe magari

    Car4Sale Nauza Toyota Rumion# DWB

    On sale🚘 FIMBO SANA (ENGINE NDOGO) toyota RUMION Reg number ....D.W.B (GARI NI NZURI SANAA ) Year 2009 Engine Cc 1490 LOW MILEAGE 61000KM CLEAN AS NEW *Price (14,800,000) 0688591584 NAVUNJA NA GARI YOYOTE√
Back
Top Bottom