JE, 2025 OCTOBER 2+2=5?
Kuna wakati huja katika kila ustaarabu unaokaribia kufa ambapo watu wanalazimishwa kupiga magoti mbele ya uongo.
Wanaambiwa waukariri, wauidhinishe, wauamini, si kwa sababu ni kweli, bali kwa sababu mamlaka yanataka hivyo.
Hapo ndipo Tanzania tulipo sasa.
Tunaishi...