tena

TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.

View More On Wikipedia.org
  1. Komeo Lachuma

    Nimembagaza huyu Dada anataka tena nimbanange. Watanzania tukemee tabia hiyo mbaya

    Ni ujinga umekubuhu kwa sasa.wanawake wengi wanapenda kubanangwa. Yaani mtu unataka umheshimu anakuambia au nikupe na huuu.. .unibanange ndo utaridhika. Huku akioneshea kwa nyuma. Mara ya kwanza nilidhani anani test. Mimi natosheka na kumbagaza tu mwanamke.kumbananga hapana si jambo zuri. Ila...
  2. Common Folk

    "Regime Change" kwa Tanzania haiepukiki tena!

    Na wanaoipalilia ikue kwa kasi ni hao hao CCM wenyewe. Uchaguzi wa mwaka huu hauna tofauti na wa miaka ya 1970, kipindi tunapiga kura za ndiyo na hapana. Huyo mwanamtandao mkuu ndiye atafanikisha hili, maana mabosi zake huwa wanaangalia zaidi "People's Opinions" kuliko mambo mengine. Tukumbuke...
  3. veyra

    Niliahidi Sitacheza Tena Tanzania, Lakini Singida Imenibadilisha – Aucho

    Kiungo wa kimataifa kutoka Uganda, Khalid Aucho, amethibitisha rasmi kuwa ataichezea klabu ya Singida Black Stars, licha ya awali kutangaza hatacheza tena kwa timu yoyote ndani ya Tanzania. Akizungumza kupitia ukurasa wake wa Instagram, Aucho amesema amebadilisha msimamo wake baada ya kuona...
  4. Evelyn Salt

    Hivi mazoezi yanalainisha viungo vya mwili? Au ndio basi tena....

    Wananchi wa malawi hii wiki tukikaa kizembe tutafaint na hizi bandika bandua, haya tupumzike kidogo. Naandika kwa masikitiko, kwa mnaofanya mazoezi, naombeni mnijibu kwa experience na ushuhuda kabisa ili nijue niruke kichura au niache. Mi umri hapa ushasogea mwenzenu (marahaba), viungo vya...
  5. Dr Akili

    Ushauri kwa ACT na sarakasi la Msajili wa vyama: waitishe haraka mkutano mkuu utakaobadili kanuni za chama chao na kumteua tena Mpina kuwa mgombea wao

    Hii sarakasi aliyofanya Msajili wa vyama vya siasa nchini la kumkata mgombea uraisi wa ACT Wazalendo kwa kutumia katiba na kanuni za chama hicho, mbona ni rahisi tu kwa wao ACT Wazalendo nao kuicheza hiyo sarakasi. Katiba na kanuni za chama ni mwongozo wa mkutano mkuu wa chama husika kwa...
  6. erasto Samwel

    Yote kwa yote Tume Mmejichanganya Tena

    Sheria na kanuni mmezikiuka wenyewe ambazo zinaelekeza vizuri sana Msajili alitakiwa alete pingamizi lake kuanzia leo jioni na kisha Act watoe maelezo utetezi kisha tume iamue na kanuni iko wazi. Pia Tume mnaamuaje kesi bila kusikiliza upande wa Act. Kama kanuni mnaanza kuzishinda hivi mapema je...
  7. Fbn

    Watanzania hasira zimekuwa kubwa sana jamaa kapata ajali ya pikipiki ambayo ni ya CCM imemlalia wanampita wakimwambia mitano tena.

    Siku hizi naona kama pikipiki za CCM zile za samia watu waliopewa wanaanza kuogopa kutembelea hata wakipeleka kwa mafundi na mafundi nao hawa zitaki,Mtaani zikipaki zinatengwa na wanazengo. Sasa kuna tukio limetokea jamaa kada mtiifu kapata ajali pikipiki anayotumia ikamlalia hakuna hata...
  8. ndege JOHN

    Uvira tena kimeumana wazalendo wachapana na FARDC kisa FARDC Kuwapa escort wanyarwanda

    Congo sijui kama kutakuja kutulia Jana wanajeshi wamerushiana risasi na wazalendo maeneo ya uvira baada ya wazalendo kuwashuku wanyarwanda waliojifanya raia kutokea Burundi kwamba wanaingia Congo kwenye mazishi walikuwa kwenye coaster sasa wazalendo wakawasimamisha lengo wawabane wajue kama NI...
  9. I

    Kwa Nini Sihifadhi Tena Mafaili Muhimu Kwenye Memory Card Je salama kuhifadhii Vitu Vyanguu kwa Memory Card

    Kwa Nini Sihifadhi Tena Mafaili Muhimu Kwenye Memory Card Kuna wakati niliamini kabisa kuwa memory card (SD au microSD) ndiyo njia salama zaidi ya kuhifadhi mafaili. Zilikuwa ndogo, rahisi kubeba, na unaweza kuzitumia kwenye simu, kamera, au laptop bila taabu yoyote. Lakini kadri siku...
  10. Desierto

    Si walisema wameangamiza kabisa vinu vya nyuklia vya IRAN? vipi tena Mwaisa

    Mvutano kati ya Iran na mataifa matatu ya Ulaya — Ufaransa, Ujerumani na Uingereza maarufu kama E3 — umeongezeka baada ya mataifa hayo kutishia kurejesha vikwazo vyote vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran. Mataifa hayo ya E3 yametoa masharti matatu kwa Iran: Kuanza tena mazungumzo na Marekani...
  11. H

    Adui wa maendeleo ya Mwafrika/Mtanzania ni wasomi wa kiafrika siyo maradhi,ujinga na umasikini tena!

    Adui wa maendeleo ya Mwafrika/Mtanzania ni wasomi wa kiafrika siyo maradhi,ujinga na umasikini tena,kwanini hao wabunge na viongozi wasomi wameshindwa kuondoa umasikini,ujinga na maradhi kama kweli elimu yao ni muhimu na suluhisho la matatizo?
  12. C

    Watanzania hatuna tena uzalendo

    Ni mambo ya kusikitisha lakini ndio ukweli. Watanzania hatuna uzalendo kabisa. Kila mtu anawaza ubinafsi wa kiwango cha juu sana. Hatuko kitu kimoja.Adui akiingia,atafanikiwa kama M23 wanavyofanikiwa kuiteka Congo wapendavyo .Tumekuwa kama wacongo,hatuna uzalendo kabisa. Jambo hili ni...
  13. Emilio Mzena

    Nguo zako ambazo huzivai tena aidha kwa kuchakaa au kuwa ndogo huwa unazifanyaje?

    Nimekutana na mada ya moto kidogo. Kuna wanaoamini tuwape wenye uhitaji ila wengine wanapinga wanasema sio sawa. Unaweza kupata mikosi. Kuna wanaosema wanazitupa au kuchoma moto ila baadhi wanasema hapana. Kuna wanaoamini nguo ukizirundika na huna matumizi nazo basi unazifunga ridhiki zako...
  14. S

    Jezi mpya za Simba zimevuja, Kama ni kweli ndio zile ni nzuri sana ila bado watu wabaya hawajafa ndani ya timu yetu na tujiandae kudhalilika tena

    Baada ya wao kutoa jezi mbovu, zinizi na ubora wowote, inasemekana jezi mpya za Simba zimetoka, wanaozipost ni washabiki wa Yanga pamoja na mwandishi kanjanja İbrahim Ambokile. Kama kweli zile ni jezi za Simba nimezipenda na nitazinunua za rangi zote, ni jezi zenye Quality ya kutosha, yule Ali...
  15. A

    Kesho 10 za Gwaji Inaisha. Tumaikie atabwabwaja nini Tena,

    Tangu 15 Hadi 25 kesho ndiyo dedilaini ya jamaa Gwaji. Tutegemee nini kutoka kwake.
  16. Pdidy

    Dada Maria nilikuonya “Kawe” haitaki tena Mwanamke. Wajumbe sio watu wanakula hela zako

    Dada yetu Kipenzi, pole sana sana Kifupi mimi ni mdogo wako fulani Ukijiandaa kugombea Kawe Ubunge nilikuonya Wajumbe usiwaamini kabisa kabisa wanakukula mpaka mifupa wakikupa moyo Haitoshi nikashauri hata hizo pesa zenu za kugawa usisambaze sana Wajumbe ni sawa na Yuda na wanapenda pesa...
  17. C

    Sasa ni rasmi MBUNGE si muwakilishi wa wananchi tena, na hatakiwi kuwa chaguo la wananchi tena bali sasa ni chaguo la watawala

    Kwa sasa wananchi hawana haki kwa jambo lolote kwenye siasa za Tanzania, hawana haki ya kujichagulia wawakilishi wanao wataka maana zoezi hilo lipo mikononi mwa watawala nadhani sasa hakuna haja ya kuleta majina huku ni kutupotezea muda na matumizi mabaya ya fedha muwe mnamaliza wenyewe huko...
  18. Mama Ametufikia

    Kama wafanyabiashara wamekubali Je kuna nini tena kilichobaki?

    Mh, Rais Samia , Sisi wafanyabiashara tunasema hatuna deni na wewe. Hakika Mama anazidi kutufikia.
  19. Allen Kilewella

    GE2025 Askofu Bagonza: Mungu akimpendeza atatenda tena

    Askofu Bangonza kwenye waraka wake ameeleza mambo mengi sana kuhusu CCM kugeuza nyundo alama ya chama chao kuwagonga wasiokubaliana nao. Lakini kamalizia na Aya aliyoijaza mambo yanayotaka TAFAKURI ya kina. Askofu Bagonza Kaandika hivi: "Wamesahau Mungu wetu haongeki na hapokei maelekezo. Kwake...
  20. DuaZaMama

    Aliyehukumiwa kubaka abaka tena Gerezani

    MFUNGWA Emmanuel Magede aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kumbaka mtoto mdogo amekutwa na hatia ya kumbaka mfungwa mwenzake aliyekuwa anaoga wakiwa gerezani. Mwendesha mashtaka, Loveit Muringwa alithibitisha kuwa Julai 23, 2025, Magede alitenda kosa hilo kwa mfungwa mwenzake wakati...
Back
Top Bottom