tekonolojia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 𝗶𝗺𝗲𝗹𝗲𝘁𝗮 𝗸𝗶𝗽𝗲𝗻𝗴𝗲𝗹𝗲 𝗰𝗵𝗮 𝗸𝘂𝗮𝗻𝗴𝗮𝗹𝗶𝗮 𝘀𝘁𝗮𝘁𝘂𝘀 𝘃𝗶𝗱𝗲𝗼 𝗸𝘄𝗮 𝗵𝗮𝗿𝗮𝗸𝗮

    Umechoka kutizama video mbalimbali za Whatsapp kwa muda mrefu 👋 WhatsApp inaanza kusambaza kipengele kipya kitakachokuwezesha kuangalia video za Status kwa kasi mara mbili ⚡📱 Ukiwa unaangalia video, shikilia upande wa kulia wa screen ili video icheze kwa 2× speed. Ukiachia, itarudi kwenye...
  2. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Google Assistant unaondolewa kwenye simu za Android

    Baada ya miaka karibu 10 ya kuwasaidia mamilioni ya watumiaji duniani, Google Assistant anaondoka rasmi kwenye simu za Android. 🤖 Kuanzia sasa, Google anabadilisha kila kitu kwa kumleta Gemini AI kuwa msaidizi mpya wa simu. Hii ina maana kuwa ukisema "Hey Google", badala ya Google Assistant...
  3. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Walichofanyiwa YouTube na Duck Duck Go ni majanga balaa

    Hatimaye imewezekana bhana! program ya DuckDuck Go Sasa inaweza kuzuia Matangazo Ya YouTube bila kutumia Extension yoyote kama ilivyo Ublock origin. Ukifungua YouTube kupitia DuckDuckGo Browser, unaweza kutazama video nyingi bila matangazo ya kuudhi yanayokatiza kila dakika. Bila kuhitaji...
  4. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗠𝗲𝘁𝗮 𝗶𝗺𝗲𝘁𝗲𝗻𝗴𝗲𝗻𝗲𝘇𝗮 𝗺𝗶𝘄𝗮𝗻𝗶 𝘂𝗸𝗶𝘃𝗮𝗮 𝘂𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗺𝘃𝘂𝗮 𝗺𝘁𝘂 𝗻𝗴𝘂𝗼 😉

    kampuni ya Meta inakaribiwa na mashtaka juu ya kutengeneza Miwani yenye kuondoa nguo zako zote na kubaki mtupu. Miwani ya Meta Ray ban glasses 🕶️ ambayo Ina Teknolojia ya Ai imekumbwa na kashfa kubwa imekua ikirekodi mambo mengi ya Siri kwa kuwaondoa watu nguo zao na kubaki uchi (naked)...
  5. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kushangaza kuhusu anga yatakayo tokea Tanzania mwaka 2026

    Mwaka huu 2026 kutatokea matukio mbalimbali ya kushangaza kuhusu Anga Yenye kuvutia Machoni na kushangaza. Utaweza kukutana na mambo mbalimbali kama vile Mwezi kubadili kuwa mwekundu, kutokea Giza la ajabu ulimwenguni, nyota zote kupotea matukio haya yataweza kujitokeza mwaka huu 2026. 🔺 Machi...
  6. Novart moses

    JamiiForums Tanzania SoC04 Mitandao ya simu kuimarisha ulinzi dhidi ya jumbe na simu za kitapeli

    Katika miaka ya hivi karibuni, kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi kumeleta mabadiliko makubwa katika mawasiliano nchini Tanzania. Simu za mkononi zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku ya Watanzania wengi, zikichochea maendeleo katika sekta mbalimbali kama vile biashara, elimu...
Back
Top Bottom