Kareem Jackson, known by his stage name Tef Poe, is an American rapper, musician and activist.Tef Poe was born in St. Louis, Missouri. He is one of the co-founders of the Hands Up United movement.Tef Poe has advocated for grass-roots involvement in improving the lives of African Americans and in racial justice within and outside the United States. In his art and activism, he emphasizes local people taking charge of conversations about their own communities rather than relying on national organizations. In an interview, he said: "And all too often, these conversations are intellectualized and moved completely away from the people who aren't allowed to come into the rooms and intellectualize the different theories surrounding racism. But they did show up in the middle of the street on West Florissant when a militarized police force was encroaching on their neighbors. So many people in pop culture are speaking out now, but they are not speaking in terms of an all-out need for a political revolution in America for Black people."Tef Poe's work in the Ferguson protests was featured in the documentary Whose Streets?, which premiered at the Sundance Film Festival in 2017 and had a theatrical release marking the third anniversary of the killing of Mike Brown.
Wanabodi,
Niko hapa ukumbi wa Aga Khan University, kuwaripotia live, kinachoendelea kwenye huu mkutano ambapo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile, atawasilisha mada ya Media Sustainability amid Digital Era. Miongoni maw watu muhimu nimewaona hapa, ni Boss wa JF, Mkuu...
Location: All Regions, Tanzania
Employment Type: Full-Time
Department: Sales / Customer Care
Reporting To: Shop Team Leader (Administrative) / Contact Experience Manager (Functional)
Hiring Organization: Tanzania Empowerment Forum Ltd. (TEF Consult)
Application Deadline: 12th September 2025...
Wanabodi,
Niko hapa Serena Hotel, nikiwaletea Live mubashara from Serena, kuhusu kikao kazi kati ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) na Tume ya Mipango, tukizungumza kuhusu Dira 2050 kuelekea kwenye Tanzania Tuitakayo!.
https://www.youtube.com/live/pu6kyCDzVFE?si=UhznxhlmDD8F3MSI
Karibu.
Paskali
Huu ni udharirishaji mkubwa, watu ambao wanasababisha Waandishi wa Habari waishi maisha magumu ni baadhi ya Wahariri.
Leo CCM wamefungua dirisha la kuchukua fomu kwa Wagombea wao, Ubunge, Udiwani na Rais.
Cha ajabu Waandishi wa Habari tumeshinda kwenye Ofisi za CCM Wilaya na mikoa kwa ajili ya...
Huu ni udharirishaji mkubwa, watu ambao wanasababisha waandishi wa Habari waishi maisha magumu ni wahariri.
Leo CCM wamefungua dirisha la kuchukua fomu Kwa wagombea wao, ubunge, udiwani na Rais.
Cha ajabu Waandishi wa Habari Leo tumeshinda kwenye Ofisi za CCM Wilaya na mikoa Kwa ajili ya...
Deodatis Balile amechaguliwa bila kupingwa kuwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kwa kipindi cha miaka minne ijayo. Uchaguzi huo umefanyika leo, Jumamosi, Aprili 5, 2025, mjini Songea, mkoani Ruvuma.
Balile, ambaye alikuwa mgombea pekee, ameendelea kuaminiwa na wanachama wa...
Wanabodi
Mimi mwanabodi mwenze ambaye ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, pia ni mhariri na mwanachama wa Jukwaa la Wahariri, TEF, niko hapa ukumbi wa Bombambili Songea, mkoani Ruvuma, kuwaletea live ya Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF...
Wanabodi,
Niko kwenye ukumbi wa hoteli mpya ya King Jada Hotel, nikiwaripotia live, kikao kazi kati ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Gersom Msigwa, na Jukwaa la Wahariri Tanzania , TEF
Karibuni.
Paskali
Wanabodi
Niko hapa Ukumbi wa FCC jijini Dar es Salaam, kuwaletea live ya Kikao Kazi cha Baraza la Ushindani, FCC na Wahariri wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF.
Hivi sasa Mkurugenzi Mkuu wa FCC, William Erio, anazungumza
Karibuni sana.
Paskali
Wanabodi,
Niko hapa Hyatt Regency, zamani Kilimanjaro Kempiski, kuwaletea mkutano wa Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander Mkumbo na Wahariri wa Jukwaa la Wahariri.
https://www.youtube.com/live/WFUYWRfpEMo?si=IndxqjQLpwOEv19tKaribuni.
OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI
TAARIFA...
Wanabodi
Niko hapa ukumbi wa JNCC nikikuletea Live Mkutano wa Wahariri wa Habari, Wahariri wa TEF na Wamiliki wa Vyombo vya Habari, kuihakiki Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.
Karibuni sana.
https://www.youtube.com/live/aZDU3ogL-jo?si=qC7GfiL6B69e_mxS
Paskali
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza masikitiko yake na kulaani vitendo vya upendeleo vinavyodaiwa kufanywa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC). TEF limezitaka taasisi zote zinazojihusisha na haki za binadamu, kama LHRC, kulaani vitendo vya ukiukwaji wa haki bila kuegemea...
Wanabodi
Tarehe 10 ya October kila mwaka, ni siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo Duniani.
Kwa Tanzania kwa mwaka huu, Kituo cha Sheria na Haki za Binaadamu Tanzania, LHRC kinazungumza na Wahariri wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, katika ukumbi wa hoteli hii ya Holiday Inn ya hapa...
Watch live, kipindi cha Mizani on TBC M/Kiti wa TEF - Deodatus Bslile, M/Kiti MISA Tan - Salome Kitomari, na Mhadhiri SJMC - Dr. Mkoko wakichambua Media ya Tanzania.
https://www.youtube.com/live/tmV6-5pXEQw?si=DxANnu0qNajL6iLf
Karibu.
Paskali
"Kwa miaka hii Mitatu Rais Samia ameweza Kukusanya Shilingi Trilioni Mbili tena bila ya Kuzikwapua kwa Watu katika Akaunti zao na kutumia Udikteta kuzipata," amesema Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri (TEF) Deodatus Balile alipozungumza na Amka na BBC leo Asubuhi.
Balile wewe leo ni wa Kumfumbia...
Position: HR Generalist
Contract Type: Full Time
Contract Status: Temporary – One year
Duty Station: Dar es Salaam
Business Function: Human Resource
Sub Function: Human resource administration
Must-Have Technical/Professional Qualifications:
Bachelor’s degree in human resources, preferably...
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Deodatus Balile amesema uhuru wa vyombo vya habari umeongezeka nchini hivyo ni jukumu la waandishi wa habari kuwaibika na kuzingatia sheria zilizopo.
Balile amesema wanahabari hawapaswi kuchafua taaluma yao kwa kutofanya kazi kwa weledi au kutumia vibaya uhuru...
KARIBU WAZIRI NAPE, ASANTE DK. KIJAJI
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limepokea kwa matumaini uteuzi wa Mhe. Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.
TEF pia linamshukuru na kumpongeza kwa kuteuliwa katika Wizara nyingine, aliyekuwa Waziri wa Habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.