Wakuu habari za weekend,
Last week nilienda kupumzika mbugani mikumi, na nikalala kwenye bandas za Tanapa.
Mambo ambayo nimejionea Aisee ni mambo ya aibu Sana hasa tukijua kuwa Tanapa inakusanya ela nyingi Sana kutoka kwa watalii.
Bandas zote zina matatizo, na hata mhusika mwenyewe anakwambia...