suluhisho la kero za muungano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Sijui Mwalimu Nyerere alikuwa akilenga nini kuruhusu watu kutoka Zanzibar kuwa na nafasi ya kuongoza Tanganyika

    Sijui Mwalimu Nyerere alikuwa akilenga nini hadi kufikia hatua ya kuruhusu watu kutoka Zanzibar kuwa na nafasi ya kuongoza Tanganyika, wakati Wabara hawana nafasi hiyo ya kuongoza Zanzibar. Hali hii inaibua maswali mengi kuhusu usawa na haki kati ya pande hizi mbili. Watanganyika tunapaswa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wazanzibari waanza kufukuza Watanganyika, Tazama hii video. Mamlaka husika zisikae Kimya

    Nimekutana na hii video Vijana wa Kitanganyika walitakiwa kuonyesha vitambulisho vya Uzanzibari kama hawana wanapoteza kazi.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ifanyike sensa, Wazanzibar wote wanaofanya kazi zisizo za muungano bara warudishwe kwao

    Tulikofikia Wazanzibar wataanza kutuchukulia poa sana hasa hasa kipindi cha Rais wa kutoka kule Kuna speech ya Nyerere inatembea sana mitandaoni yenye maudhui kwamba yeye (Nyerere) ndiye aliyekataa muungano wa serikali moja kwa kuhofia kuonekana anataka kuimeza (kuitawala) Zanzibr Kwa jinsi...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Saada Mkuya et al mnachokijenga miongoni mwa Watanganyika ni hiki na kitaota mizizi ya chuki. Sikiliza

    Watanganyika tunajengewa kitu ambacho hatukuwa nacho! Kinajengwa na matamshi ya wazi ya wazanzibari! Sikiliza watanganyika wameanza kujitambua Pia soma Kaimu Waziri wa Afya-Saada: Hatuwezi Kuwatibu wasio Wazanzibari Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye...
  5. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Niwe mkweli tu mfano niwe Rais Sasa hivi, Zanzibar ningeifanya hivi

    Ningeteneza uwanja Mzuri wa kimataifa wa ndege kuliko wa pale DXB. Ningeteneza pia recreational center kama theme parks, hoteli zinazoelea kwenye maji pamoja na Hotel zenye hadhi ya kimataifa kama Hyatt regency au Kama zile za Trump towers ningeifanya Unguja na Pemba kuwa destination ya Sex...
  6. Doctor Mama Amon

    JamiiForums Tanzania Njia Pekee ya kuepuka viongozi kutoka Zanzibar ni kuvunja Muungano

    Ukweli kwamba mitaala ya elimu sio sehemu ya mambo ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unayo madhara makubwa sana kwa Watanganyika pale kunapokuwepo na viongozi wa siasa ambao ni Wazanzibari. Mitaala ya elimu ya Zanzibar haisemi kitu kuhusu tofauti kati ya dola ambayo ni jamhuri ya kiliberali...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Si kwa ajili ya ubaguzi, bali namshauri Rais Samia aepuke kufanya maamuzi makubwa ya muda mrefu yanayohusu upande wa Tanzania bara peke yake

    Najua kwamba Rais Samia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, lakini ni jambo lililo wazi kwamba yeye kama Rais wa Tanzania, maamuzi yake kwa zaidi ya 98% yanahusu upande wa Tanzania bara peke yake, kwa sababu upande wa Zanzibar wana raisi wao na serikali yao. Katika hali kama hii, na...
  8. Tulimumu

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sawa marais wote kutokea upande mmoja?

    Tanzania ndiyo nchi pekee duniani inayotawaliwa na marais wawili kwa wakati mmoja, mabunge mawili, nyimbo za taifa mbili, majaji wakuu wawili, katiba mbili, bendera mbili, maspika wawili, makamu wa rais sasa hivi watatu, marais wanaopigiwa mixinga 21 wawili nk Zamani ilikuwa Rais akitokea...
  9. greater than

    JamiiForums Tanzania Suluhisho za changamoto zilizopo kwenye Muungano Tanzania

    Awali ya yote natumaini wananchi wenzangu wote mpo salama. Ndani ya kipindi hiki cha miezi miwili kumeibuka mjadala mkali ukihusu changamoto za muungano kutoka pande zote mbili za muungano. Mda mwingi umetumika kujadili changamoto kuliko kuweka mawazo ambayo yatatatua changamoto hizo. Uzi huu...
Back
Top Bottom