simbachawene

George Boniface Taguluvala Simbachawene (born 5 July 1968) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Kibakwe constituency since 2005.He held the post of the Minister of State in the President’s Office responsible for Regional Administration, Local Government, Civil Service and Good Governance from November 2015 to September 2017. He resigned from his post on September 7 2017 after his name was implicated in the Minerals report from his time in the Ministry of Energy and Minerals.On 21 July 2019, he is assigned as the Minister of State in the Vice President's Office.

View More On Wikipedia.org
  1. beth

    Arusha: Polisi waua majambazi watano. RC Gambo atoa pongezi

    Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shanna amesema kikosi cha jeshi la polisi Mkoani humo kimewaua majambazi sugu watano wakati wakijibizana risasi na polisi na kuwakuta na silaha aina ya Shotgun Pump Action 32265,Chinese Pistol,Bastola 1 bandia,risasi 11 pamoja na simu 2 & pikipiki 3...
  2. Chagu wa Malunde

    Kauli yenye akili ya Simbachawene: Mh Rais mimi sina nyota hata moja hivyo jukumu la kuvisimamia vyombo vya dola ni lako Amiri Jeshi mkuu

    Naomba niweke wazi hapa nahitaji kueleweshwa juu ya hili suala. Katika hotuba yake Waziri wa mambo ya ndani alidokeza juu ya utawala ndani ya wizara ya Mambo ya ndani, akadai hana nyota na wala yeye si Amiri jeshi mkuu. (Hili nakubali asilimia mia). Hivyo ameonyesha wazi kuwa hatakuwa...
  3. Nzelu za bwino

    Hongera Waziri Simbachawene, lakini kuwa makini na Jeshi la Polisi

    Nakupongeza kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi. Kumbuka Wizara yako ndio Wizara inyohusika na kusimamia haki za msingi za maisha ya Watanzania ya kila siku. Pia ndio Wizara inayowajibika kusimamia usalama wa Wananchi na Mali zao. Hivi karibuni kumekuwa na shutuma nyingi dhidi...
  4. Chagu wa Malunde

    RPC Mwanza naomba uingilie hili suala ili haki ipatikane

    Natoa ombi hili kwako maana wewe umekabidhiwa jukumu hili la kulinda usalama wa raia na mali zao kama kamanda wa mkoa. Tukio hili baya lilitokea tar 26/10/2019 ndani ya ofisi ya kata ya Kahama wilaya ya ilemela Mkoa wa Mwanza. Watuhumiwa waliteswa na Mwanajeshi na Migambo kwa idhini ya Mtendaji...
  5. Roving Journalist

    Ikulu Dar: Rais Magufuli amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mussa Zungu apewa Wizara ya Mazingira

    Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam yatawajia muda mfupi ujao kupitia vyombo vya habari vya Redio, Televisheni na Mitandao ya Kijamii. Aidha, waweza kutazama kupitia Youtube ya IkuluMawasiliano. ====== UPDATES: Rais amemteua Mussa Zungu kuwa Waziri wa Muungano na...
Back
Top Bottom