Leo nimeamka vizur sana, sikutegemea siku yangu itaelekea kuwa chungu.
Nipo zangu posta natembea mdogomdogo kuelekea ofisini asubuhi ya leo, mara ghafla kuna jamaa akaanza kuniongelesha (umri wake kama miaka 40-50) ambaye nilikuwa natembea nae njia moja....
Mshkaji; Oyaa niaje mzee?
Mimi; Safi...