Agosti 30, 2022, Kathmandu, Nepal, waumini wanawake wa dini ya kihindu walisherehekea Tamasha la Teej(siku ya wanawake), wakitoa heshima katika Hekalu la Pashupatinath kwa Mungu Shiva huku wakiimba na kucheza ngoma.
Katika baadhi ya maeneo ya Nepal, India na Bangladesh, waumini wanawake wa dini...