shule za sekondari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BigTall

    Askari Wanawake Mbeya watoa zawadi ya taulo za kike, sabuni na vifaa vingine kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na Msingi

    Mwenyekiti wa Mtandao wa Askari Polisi Wanawake Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Afisa Mnadhimu namba moja Mkoa wa Mbeya ACP Christina Musyani, Machi 06, 2023 amewaongoza Askari Polisi Wanawake Mkoa wa Mbeya kuwatembelea na kutoa zawadi kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na Msingi zilizopo katika...
  2. Jamii Opportunities

    SADC, Shindano la kuandika insha kwa shule za sekondari

    Shindano la kuandika Insha kwa shule za Sekondari
  3. Mahesabu

    Maandamano ya Wanafunzi wa Shule za Sekondari na Msingi

    Wanafunzi wa shule kadhaa za jiji la dar waliokuwa katika maandamano (yasiyo ya amani) ya kupinga ongezeko la nauli kutoka tsh 50 hadi Tsh 100 leo walifanya uharibifu wa magari kadhaa ya daladala. Maeneo ya Ilala-boma kulionekana magari kadhaa yakivunjwa vioo na wanafunzi hao. Kati ya magari...
Back
Top Bottom