Lucia Michael maarufu Mama Kulwa, mkazi wa Majengo Manispaa ya Shinyanga, amekutwa ameuwa na watu wasiojulikana, na mwili wake kutupwa nyuma ya Msikiti wa Majengo.
Picha: Polisi wakichukua mwili wa Marehemu
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo, ambapo aligundulika na majirani majira ya...