sebule

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr. Zaganza

    Natafuta chumba na Sebule

    Habari wakuu, Natafuta chumba na sebule mitaa ya Kiluvya, Kibamba, Mbezi mwisho, malamba mawili, mwisho kinyerezi. Piga 0713039875
  2. Nyendeke

    Design ya Sebule kuwa Chini halafu Vyumbani na Sehemu ya Chakula kuwa Juu

    Ndugu wanamajilisi, hiyo "design" tajwa hapo Juu ndio Ujenzi wa Kisasa? Au ni kipi hasa kinapelekea Mafundi wengi kushauri Ujenzi wa namna hiyo?
  3. Dalali Alpha

    House4Rent Chumba na sebule inapangishwa

    Chumba kimoja cha kulala pamoja na sebule. Eneo: Mbezi Beach Bei Tshs 100,000/Mwezi Maji ya dawasa yapo masaa 24, Usalama Upo wa kutosha, Ipo umbali wa dakika 2 kutembea kwa mguu. Tuwasiliana: 0686648630
  4. Playman

    House4Rent Chumba na sebule kinapangishwa Mbezi Beach

    Chumba na sebule, Choo cha nje. Maji ya dawasa, Umeme Luku wawili, Maegesho ya gari ipo, Uzio na usalama Upo. Bei Tshs 100,000 Kwa Mwezi Kodi ya Miezi 6 Wasiliana nasi: 0686648630 | 0716442950
Back
Top Bottom