Si ni life..
Nyakati kama hizi wapo wanaelekea kulala au wamelala tayari.. Wengine wamelala kama panga,
Wengine wapo na wapenzi wao wanapasha vitanda joto. Wengine baridi inagonga kama walinzi.
Wengine wapo kwenye hotline bring talking with their babies.
Wengine wanamsikiliza diva the...