Habari zenu Waungwana kuna issues moja inanitesa sana, mara tu ninapofanya mapenzi na mwanamke yoyote yule, lazima mwanamke huyo avutie na mimi hata kama tulifanya bahati mbaya, ataanza kunipenda na kunionea wivu, wanawake 7 sasa niliowala kibahati mbaya wananing’ang’ania sana sasa sijui shida...